Nilimtongoza akanikatalia sasa hivi anataka niwe natembea naye kila sehemu

Nilimtongoza akanikatalia sasa hivi anataka niwe natembea naye kila sehemu

Wakuu humu ndan nna swali langu.

Kuna manzi nilimtongoza mda flan kipindi tuko chuon akanichomolea akaniambia kuwa ana mtu tayar ss nikamute kwa muda ikatokea wakat huu tupo field wote tumeenda sehemu moja yaan anataka kila nikiwa natoka home kwenda kule ofisini anataka tuwe tunatembea wote

Pia kila tunaporud anataka turudi wote mpk ananielekeza nyumban kwao mara anataka mpk ajue home kwetu jaman nipen ushauri hapo inakuwaje nianze kumwambia tena masuala ya mahusiano au nivunge au sometimes ni dalili ya kwamba kaeleweka au vip wakuu?
Tofautisha... au basi
 
Huo ndio umri ambao either uharibikiwe au uandae good future, uamuzi ni wako kupanga ni kuchaguwa.

Yote unayoyaona Leo ni ubatili mtupu, ukimaliza masomo na kujiajiri au kuajiliwa hao watakuja wenyewe automatically bila kutumia nguvu yoyote.
 
Doooooh, kweli bin adam tumetofautiana aisee 😆😆😆
 
Watoto wa chuo bhana! Badala ya kuwaza shughuli ya kukuingizia kipato mara baada ya kuhitimu chuo, wewe unawaza mambo ya kijinga tu.
 
Muda wa kula nani analipia!?

Nauli nani analipia!?

Vitu vidogo vidogo nani analipia kama ice cream, biscuits, etc.
 
Usivunje urafiki.

Usimtongoze Tena

Mmefikia magetoni au hiyo field mnafanyia mkitokea kwenu?
 
Usimwambie kuhusu mambo ya relationship ama kutaka kuwa nae Tena atakuona fara wewe Mwambie siku Moja aje Geto kwako na kama akija kweli basi Ushindwe wewe tu Hapo
Hii comment imefunga mjadala kabisa. Huyo umkule tu bila kuzungumza nae kitu chochote Kuhusu kumtongoza tena.
 
Wakuu humu ndan nna swali langu.

Kuna manzi nilimtongoza mda flan kipindi tuko chuon akanichomolea akaniambia kuwa ana mtu tayar ss nikamute kwa muda ikatokea wakat huu tupo field wote tumeenda sehemu moja yaan anataka kila nikiwa natoka home kwenda kule ofisini anataka tuwe tunatembea wote

Pia kila tunaporud anataka turudi wote mpk ananielekeza nyumban kwao mara anataka mpk ajue home kwetu jaman nipen ushauri hapo inakuwaje nianze kumwambia tena masuala ya mahusiano au nivunge au sometimes ni dalili ya kwamba kaeleweka au vip wakuu?
Stuka mkuu mwishoe utaitwa BFF
 
Back
Top Bottom