- Thread starter
- #21
Ntajarib hyo methodologyKesho baada ya kutoka field muambie haitaiwezekana kuongozana naye coz kuna mahali unawahi una appointment na mrembo flani hivi, alafu msikilizie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntajarib hyo methodologyKesho baada ya kutoka field muambie haitaiwezekana kuongozana naye coz kuna mahali unawahi una appointment na mrembo flani hivi, alafu msikilizie.
Hajawah kuniomba pesa hana njaaKabla hatujakushauri, tuambie kwanza pesa ya nauli na lunch atakuwa anatoa nani mkiwa mnatembea pamoja? Kisha tutakushauri vizuri.
Tofautisha... au basiWakuu humu ndan nna swali langu.
Kuna manzi nilimtongoza mda flan kipindi tuko chuon akanichomolea akaniambia kuwa ana mtu tayar ss nikamute kwa muda ikatokea wakat huu tupo field wote tumeenda sehemu moja yaan anataka kila nikiwa natoka home kwenda kule ofisini anataka tuwe tunatembea wote
Pia kila tunaporud anataka turudi wote mpk ananielekeza nyumban kwao mara anataka mpk ajue home kwetu jaman nipen ushauri hapo inakuwaje nianze kumwambia tena masuala ya mahusiano au nivunge au sometimes ni dalili ya kwamba kaeleweka au vip wakuu?
Huo ndio umri ambao either uharibikiwe au uandae good future, uamuzi ni wako kupanga ni kuchaguwa.Miaka 22
Hii comment imefunga mjadala kabisa. Huyo umkule tu bila kuzungumza nae kitu chochote Kuhusu kumtongoza tena.Usimwambie kuhusu mambo ya relationship ama kutaka kuwa nae Tena atakuona fara wewe Mwambie siku Moja aje Geto kwako na kama akija kweli basi Ushindwe wewe tu Hapo
Stuka mkuu mwishoe utaitwa BFFWakuu humu ndan nna swali langu.
Kuna manzi nilimtongoza mda flan kipindi tuko chuon akanichomolea akaniambia kuwa ana mtu tayar ss nikamute kwa muda ikatokea wakat huu tupo field wote tumeenda sehemu moja yaan anataka kila nikiwa natoka home kwenda kule ofisini anataka tuwe tunatembea wote
Pia kila tunaporud anataka turudi wote mpk ananielekeza nyumban kwao mara anataka mpk ajue home kwetu jaman nipen ushauri hapo inakuwaje nianze kumwambia tena masuala ya mahusiano au nivunge au sometimes ni dalili ya kwamba kaeleweka au vip wakuu?
Ushauri mzuri sana, ingawa jamaa anaweza asichukulie serious.Kesho baada ya kutoka field muambie haitaiwezekana kuongozana naye coz kuna mahali unawahi una appointment na mrembo flani hivi, alafu msikilizie.
Jibu swali Mkuu, anatoa nani? wewe au yeye? Wewe umesoma chuo, unashindwa vipi kujibu swali hilo rahisi?Hajawah kuniomba pesa hana njaa
Kila mmoja anatokea homeUsivunje urafiki.
Usimtongoze Tena.
.
Mmefikia magetoni au hiyo field mnafanyia mkitokea kwenu?