crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 851
😂😂😂😂😂aisee nimecheka kifalaMpaka sasa mademu 5 wana mimba zangu mkuu ukiona kimya nipo nawaza jinsi ya kuwalea hao wote mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂aisee nimecheka kifalaMpaka sasa mademu 5 wana mimba zangu mkuu ukiona kimya nipo nawaza jinsi ya kuwalea hao wote mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16] nionee ata huruma mkuu aiseee kiwanda changu cha kuchakata viazi kuwa chipsi kitafirisika aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee nimecheka kifala
Pole sana ila usikate tamaa ya kuishi mapema Nenda kapime ujue afya yako ili uishi kwa matumaini
😂😂😂😂aisee niko hoi kinoma maana sio kwa kicheko nlichokua nacho[emoji16][emoji16][emoji16] nionee ata huruma mkuu aiseee kiwanda changu cha kuchakata viazi kuwa chipsi kitafirisika aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee niko hoi kinoma maana sio kwa kicheko nlichokua nacho
😂😂😂😂😂😂😂😂
Aiseee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
unastahili tuzo mkuu
Mtaalam embu nipe location na number zake iliaaikusumbue tena mi naoa kbs mnyaturu huyoWanawake wengine bhana, Huyu demu ni wa kutokea hapo singida, Alikuwa anakuja sana hapa kibandani kwangu,
Ni mzuri wa sura mpaka umbo kiasi kwamba na ubaharia wangu wote nilikuwa namgwaya kumtongoza kisa nawaza kama nitatoboa kweli maana muonekani wake ni wa watu wenye magari siyo Vitz, na Passo,
Katika ile kuja kuja nikapiga moyo konde nikaomba namba bila hiyana demu akanipa,
Sikumpa gape Alivyotoka tu muda ule ule nikaanza kumtupia maneno Matamu,
Nilitongoza sana mtoto yule kila Aina ya neno nilisema lakini wapi mtoto akawa anakaza,
Wiki nzima ikakatika zero nikawa nabembeleza kutongoza mtoto anachomoa tu,
Nikasema no sweat kwa kuwa namtongoza kwa simu ngoja nimuombe apointement niongee nae ana kwa Ana uwenda akanielewa,
Kimazabe sana nikamuomba tukutane tuongee akauliza wapi nikamwambia tu aje kwangu,
Kauliza lini nikamwambia kesho ambayo ni jana, muda mchana,
Kweli ilivyofika muda nikamuelekeza napoishi mtoto akaja,
Alovyofika ndani akakaa kitandani tu(gheto kwangu hakuna kochi kuepuka usumbufu) basi nikamkaribisha kinywaji akataka soda nikatoka kwenda kumchukulia,
Nilivyorudi nami nikakaa karibu yake baada story mbili tatu nikatest kumshika nikakuta mtoto hanitoi mikono,
Nikachukua mkono nikaubusu akawa anacheka,
Nikamsimamisha na kumkumbatia kwa nyuma huku mkono nimeshika matiti yake, mtoto amenyuti tu nikasema kaisha huyo,
Nikaanza kumpampasa mara mtoto akaanza kurespond akanipa mdomo nikaanza romance,
Ilivyokolea nikamvua nguo nikamlamba kirahisi tu bila kutumia nguvu wala mtongozo tena.
Alivyotoka sasa yeye ndio ananisumbua mimi na kusema Ananipenda sana, ameshasahau kwamba alinikataa karibia wiki nzima
CC Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maelezo yake ndom itoke wapi alibaki nayo mfukoniUlivaa ndomu kweli..!?[emoji45][emoji30][emoji22]
Duuuu balaaaDemu akija kwako hapo keshaamua kuna mawili aliwe au la. Mimi huwa napuliza dawa ya mbu sebuleni ili straight twende chumbani
Sent using Jamii Forums mobile app