Nilimuacha kwa sababu ya kupenda "kuzibuliwa mtaro"

Namimi nashangaa kwanza haya Mambo yapo dar tu ,huku mwanza ,tarime ,mbeya na rukwa hayapo kabisa ni wachache sana wanaoshiriki,
Ndege wanafanana huruka pamoja,ana date na mdangaji anategemea nini?
 
Sina namba yake kwa Sasa,na hata ningekuwa na namba yake nisingeitoa kwa mtu yeyote yule.
Mkuu weka picha basi ya kusindikizia uzi wako tuone huo mswambwanda umekaaje kaaje tuweze kutathmin na kutolea upembuzi yakinifu
 
Itafute namba yake alafu tuongee biashara ntainunua kwa mkopo
Duh,bro sitaki hatia Mimi,kuipata naweza kuipata tena within a day,ila siwezi hata kidogo kumpa mtu namba yake.
 
Kuna member anaitwa NAWATAFUNA naona anavyomeza mate, anatamani hii fursa angekuwa yeye
Halafu Kuna mabaharia washanifata inbox ili niwaunganishe,ila hicho kitu sitoweza kufanya hivyo maana naogopa hatia isije kuwa juu yangu mm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…