Nilimuacha mke wangu kisa ndugu zangu najutaa jamanii

muda mzuri kabisa wa kula majanga uliyoyachuma na ndugu zako.
 
Story Tam Sana, Ebu Chukua Zawadi ya Box Linalozunguka juu Apo.
 
Wewe ndo ulitengeneza mazingira achukiwe.
 
Chuki haitakiwi kukuongoza kama anafanya kila kitu sahihi na makosa madogo madogo!

Binafsikujali kwangu hawa viumbe kumenitokea puani coz yai viza limepasuliwa usoni mwangu na Sasa nanuka na ni kicheko Hadi Kwa wafanyakazi,ninaowahudumia Hadi jamii kwa ujumla!!
Ngoja niendelee kumuomba mungu labda nitapata ahueni!!
 
Yaani ndugu zako wanaomba msaada unaanza kumuuliza mkeo akupe ruhusa au laaahh.

Sikia wewe kitobo,wewe huyo mwanamke amekuacha kwakua ameona anakumudu.Mwanamke huwa anapenda kuongozwa .Kila mara anapohisi yeye ndio muongozaji basi huwa anaondoka eneo hilo na kutafuta wa kumuongoza.


Acha kusingizia ndugu zako fala wewe.Uwe unahudhuria vikao vya wanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…