Nilimuomba boss wangu aniongezee mshahara na hakufanya hivyo japo nilimfuata mara 3 ndani ya huu mwaka 2020

Nilimuomba boss wangu aniongezee mshahara na hakufanya hivyo japo nilimfuata mara 3 ndani ya huu mwaka 2020

siongezi mkataba, hiyo subra nmevuta sana mkuu.
Sasa huoni huu ndio muda muafaka wa kunegotiate huo mshahara mpya kwenye kipengele cha kima cha mshahara kwenye huo mkataba mpya...
Ukisusa unadhani hatopata mtu mwenye juhudi na njaa ya kazi kikuzidi wewe huku mtaani!?
 
Fuata moyo wako usifuate Mob Psychology kama Membe 😅 😅 😅 😅 Unapoanza watakushangilia wengi baadae wanaanza kujitoa mmoja mmoja
maboss wa kibongo wababaishaji tu
 
Sasa huoni huu ndio muda muafaka wa kunegotiate huo mshahara mpya kwenye kipengele cha kima cha mshahara kwenye huo mkataba mpya...
Ukisusa unadhani hatopata mtu mwenye juhudi na njaa ya kazi kikuzidi wewe huku mtaani!?
ni bora atafute mwingine, kila mtu ashinde mechi zake.
 
ntafanya hivyo madam ila huyu boss nmeshamdharau
You never know maybe huo mkataba unaoitiwa ndio unaongezeko la mshahara.
Cha kufanya we nenda kwa boss wako akikupa mkataba soma kipengele cha renumeration ukiona hakina mabadiliko mchane mkishindwa kuwezana sepa.
 
Maisha yanaenda kasi sana mara paah...huu mwaka ndiyo unaishia.

Turudi kwenye mada wakuu,
unajua hawa maboss wa kibongo ni vichomi sana! Unamuomba akuongeze mshahara kutokana na kazi unayofanya, kazi inaonekana si rahisi na hujawahi kuharibu kazi hata siku moja.

Anakujibu vizuri tu "ntakuongezea but raise is a raise."

Unasubiri kuona kama ataongeza... miezi inakata holaa! daah!!! Unaendelea kumfwata mara kadhaa na kumwandikia barua lakini majibu ni yaleyale na hakuna nyongeza hata senti!

Mkataba umeisha anataka nikasign tena really! huyu boss hakika ni kichaa.
Hilo shirika/kampuni haina hela.
Hivi ni vigumu kuelewa hilo?
Acha kazi uone mtaani kukoje!
 
Back
Top Bottom