witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mkuu usikilize moyo wakomkuu sisi watanzania ni wanyonge mpaka inaboa. kwamimi hapana nimechoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usikilize moyo wakomkuu sisi watanzania ni wanyonge mpaka inaboa. kwamimi hapana nimechoka
nimekupata vilivyoNakazia
salute madamMkuu usikilize moyo wako
Fuata moyo wako usifuate Mob Psychology kama Membe 😅 😅 😅 😅 Unapoanza watakushangilia wengi baadae wanaanza kujitoa mmoja mmojanimekupata vilivyo
Safi sana wewe ni jasiri mkuu usikubali kunyonywa..joto lipo na litaendelea kuwepo, mimi sio mti lazima nimove.
miezi mingapi?😄Safi sana wewe ni jasiri mkuu usikubali kunyonywa..
kwani kukaa hata miezi 6 bila kazi kuna shida 😀
Sasa huoni huu ndio muda muafaka wa kunegotiate huo mshahara mpya kwenye kipengele cha kima cha mshahara kwenye huo mkataba mpya...siongezi mkataba, hiyo subra nmevuta sana mkuu.
kazi tembo mshahara sungura! really? bora kukaa chonjo kuwapisha wengine wajionee.Kwa miaka hii kuongezewa mshahara ni kama kutaka kuwaambia kampuni wakufanyie replacement
Sent using Jamii Forums mobile app
maboss wa kibongo wababaishaji tuFuata moyo wako usifuate Mob Psychology kama Membe 😅 😅 😅 😅 Unapoanza watakushangilia wengi baadae wanaanza kujitoa mmoja mmoja
ni bora atafute mwingine, kila mtu ashinde mechi zake.Sasa huoni huu ndio muda muafaka wa kunegotiate huo mshahara mpya kwenye kipengele cha kima cha mshahara kwenye huo mkataba mpya...
Ukisusa unadhani hatopata mtu mwenye juhudi na njaa ya kazi kikuzidi wewe huku mtaani!?
Ni kweli, ila hakikisha ukishatoka hapo, basi uendee sehemu nafuu zaidi, ama sivyo ukiangukia pua ukarejea kitaa na hauna mtaji wa mishe utapitia mitihani sana huu uchumi wa sasa.kazi tembo mshahara sungura! really? bora kukaa chonjo kuwapisha wengine wajionee.
You never know maybe huo mkataba unaoitiwa ndio unaongezeko la mshahara.
Cha kufanya we nenda kwa boss wako akikupa mkataba soma kipengele cha renumeration ukiona hakina mabadiliko mchane mkishindwa kuwezana sepa.
ntajilipua hata beira msumbiji huko lkn si kunyonywa kifalaNi kweli, ila hakikisha ukishatoka hapo, basi uendee sehemu nafuu zaidi, ama sivyo ukiangukia pua ukarejea kitaa na hauna mtaji wa mishe utapitia mitihani sana huu uchumi wa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi cha mzee ruksa, mabunda ya pesa tulikuwa tunayasunda kwenye soksi maana kwenye pochi hayakai...lini kitaani kulikuwa kwepesi?
...kuna watu piawalikuwa wanasema maisha magumuKipindi cha mzee ruksa, mabunda ya pesa tulikuwa tunayasunda kwenye soksi maana kwenye pochi hayakai...
Hilo shirika/kampuni haina hela.Maisha yanaenda kasi sana mara paah...huu mwaka ndiyo unaishia.
Turudi kwenye mada wakuu,
unajua hawa maboss wa kibongo ni vichomi sana! Unamuomba akuongeze mshahara kutokana na kazi unayofanya, kazi inaonekana si rahisi na hujawahi kuharibu kazi hata siku moja.
Anakujibu vizuri tu "ntakuongezea but raise is a raise."
Unasubiri kuona kama ataongeza... miezi inakata holaa! daah!!! Unaendelea kumfwata mara kadhaa na kumwandikia barua lakini majibu ni yaleyale na hakuna nyongeza hata senti!
Mkataba umeisha anataka nikasign tena really! huyu boss hakika ni kichaa.