Nilimuomba boss wangu aniongezee mshahara na hakufanya hivyo japo nilimfuata mara 3 ndani ya huu mwaka 2020

😆😆😆 kukesha sio poa
 
umeongea pumba.
 
umejuaje km kaongezewa malimbikizo ya kodi? unazingua Ukwaju
pole dogo Mkuu, baada ya Uchaguzi zilifuata sms toka TRA za kukumbushwa Kodi, Malimbikizo, Kodi za majengo nk, watu tumelia kila kona na nyuzi nyingi zipo mumu humu kachungulie na kuchangia, walipa kodi bora tufunge halafu tuone hiyo mishahara mtaipataje, yaani kuandika tu barua ya muflis /Bankrupt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…