ndugu wana JF,NILIKUWA NA MPENZI WANGU, BAADA YA KUWA NAYE KWA MUDA KAMA WA MIEZI 3 HIVI, nilianza kumuona kama wa kawaida tu na hakuna tofauti ya kuwa naye au kutokuwa naye, nikaamua kuwa kivyangu na kukaa kimya japo alitaka nimjulishe nini kimenipata lakini nikadharau, sasa nimegundua kuwa kumbe alikuwa muhimu kwangu kuliko nilivyodhani. Namuomba turudishe penzi letu lakini ananiambia ananiogopa sababu mi ni katili na hataki kulia tena kama awali.
I AM CONFUSED!!!!!!!!!!!!!!!!!
ndugu wana JF,NILIKUWA NA MPENZI WANGU, BAADA YA KUWA NAYE KWA MUDA KAMA WA MIEZI 3 HIVI, nilianza kumuona kama wa kawaida tu na hakuna tofauti ya kuwa naye au kutokuwa naye, nikaamua kuwa kivyangu na kukaa kimya japo alitaka nimjulishe nini kimenipata lakini nikadharau, sasa nimegundua kuwa kumbe alikuwa muhimu kwangu kuliko nilivyodhani. Namuomba turudishe penzi letu lakini ananiambia ananiogopa sababu mi ni katili na hataki kulia tena kama awali.
I AM CONFUSED!!!!!!!!!!!!!!!!!
mambo ya kawaida haya
kwenye mapenzi,kama anajitia mgumu na wewe uchune,kuna siku
atakutafuta,wanawake ndo walivyo.
mmh labda ulimuona wa kawaida kwasababu ulimuona mwingine wa tofauti ambae nae baada ya muda umeanza kumuona wa kawaida..just a thought!
umeona eeh, cajab kaonja kwngn huko kaona hapafai ndo anajrudsha na kuujua umuhim wake
mkumbushe huyo labda kasahauhumtakii mema mwenzio,wanawake wa aina hiyo hawapo tena siku hizi.
Wengi mnajua thamani ya watu mnapowakosa. Pole sana,
ndugu wana JF,NILIKUWA NA MPENZI WANGU, BAADA YA KUWA NAYE KWA MUDA KAMA WA MIEZI 3 HIVI, nilianza kumuona kama wa kawaida tu na hakuna tofauti ya kuwa naye au kutokuwa naye, nikaamua kuwa kivyangu na kukaa kimya japo alitaka nimjulishe nini kimenipata lakini nikadharau, sasa nimegundua kuwa kumbe alikuwa muhimu kwangu kuliko nilivyodhani. Namuomba turudishe penzi letu lakini ananiambia ananiogopa sababu mi ni katili na hataki kulia tena kama awali.
I AM CONFUSED!!!!!!!!!!!!!!!!!
hivi mimi ushanifanyia vituko mbele ya kadamnasi, umeniadhiri mbele ya walimwengu. Kesho unataka turudiane ni lazima nifikiri mara kumi zaidi.
Mleta mada kuna kikubwa kibaya alichomfanyia binti wa watu!