Nilimuonyesha US dollars kwa bahati mbaya nikasumbuliwa balaaa...

Nilimuonyesha US dollars kwa bahati mbaya nikasumbuliwa balaaa...

VentureCapitalist

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2018
Posts
403
Reaction score
545
Hayawi hayawi huwa! Katika harakati zangu za maisha ya kila siku mkeka bhana juzi kati si ukatiki!kwa buku 10 nikampiga muhindi 2,500,000(baada ya makato ya kodi). Maisha mafupi nikasema wacha nikajipongeze kidogo nichakaze hiyo laki 5 huku nikiwa nimeibadilisha hiyo 2M kuwa USD kwa sababu napenda kuweka akiba ya fedha za kigeni.

Baada ya kupata drinks zangu, wakati wakulipa bill nikajisahau labda nipo Texas Marekani ama los angeles, pembeni yangu nilikua nimekaa kaunta na mdada flani hivi kuna haja ya kuendelea kuzungumza? Kichwa cha habari kinaeleza yote..
 
tatizo wazee wa kubet wanakuwa na imagination za ajabu wakati wanabet,

ndio kwanza unasuka mkeka lakini ushauwekea na matumizi kabisa.

tatizo wazee wa kubet wanakuwa na imagination za ajabu wakati wanabet,

ndio kwanza unasuka mkeka lakini ushauwekea na matumizi kabisa.
Imagination ni bora zaidi kuliko maarifa. imagination haina mipaka ukiimagine unatengeza unapata maarifa mapya.
 
Mademu wa Jeiefu wote wanajua kuna kuna kuliwa kimasihara...

Ukiona wamekuja basi Vigezo na masharti vizingatiwe.
 
Hayawi hayawi huwa! Katika harakati zangu za maisha ya kila siku mkeka bhana juzi kati si ukatiki!kwa buku 10 nikampiga muhindi 2,500,000(baada ya makato ya kodi).Maisha mafupi nikasema wacha nikajipongeze kidogo nichakaze hiyo laki 5..huku nikiwa nimeibadilisha hiyo 2M kuwa USD kwa sababu napenda kuweka akiba ya fedha za kigeni.Baada ya kupata drinks zangu, wakati wakulipa bill nikajisahau labda nipo Texas marekani ama los angeles.pembeni yangu nilikua nimekaa kaunta na mdada flani hivi..kuna haja ya kuendelea kuzungumza? Kichwa cha habari kinaeleza yote..
[emoji1787][emoji1787] sasa hizo lak tano si noti mbili tu za dollar mia
 
Back
Top Bottom