VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 403
- 545
Si kaja kuwavuta watu wakabeti leoHii chai
Akili kila mtu anazo,ni jinsi ya kuitumia ndio hutofautisha binadamuWazee wa kubeti Kama kawaida yenu matangazo ili vijana wakapukutishwe ,Akili kichwani mwako
bet kwa risk yako mwenyewe babuSi kaja kuwavuta watu wakabeti leo
😃😃😃Sasa mbona story imeingia na kikiAkili kila mtu anazo,ni jinsi ya kuitumia ndio hutofautisha binadamu
Mm sibeti ,ela haramu znaisha kiharamubet kwa risk yako mwenyewe babu
Betting inaruhusiwa kikatiba unless serikali iiharamishe , sisi twaendelea kubetMm sibeti ,ela haramu znaisha kiharamu
kuwafikia watu wengi zaidi😃😃😃Sasa mbona story imeingia na kiki
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Hii chai
tatizo wazee wa kubet wanakuwa na imagination za ajabu wakati wanabet,
ndio kwanza unasuka mkeka lakini ushauwekea na matumizi kabisa.
Imagination ni bora zaidi kuliko maarifa. imagination haina mipaka ukiimagine unatengeza unapata maarifa mapya.tatizo wazee wa kubet wanakuwa na imagination za ajabu wakati wanabet,
ndio kwanza unasuka mkeka lakini ushauwekea na matumizi kabisa.
mkeka ujao nitatenga fungu kwa ajiri yao!Mademu wa Jeiefu wote wanajua kuna kuna kuliwa kimasihara...
Ukiona wamekuja basi Vigezo na masharti vizingatiwe.
[emoji1787][emoji1787] sasa hizo lak tano si noti mbili tu za dollar miaHayawi hayawi huwa! Katika harakati zangu za maisha ya kila siku mkeka bhana juzi kati si ukatiki!kwa buku 10 nikampiga muhindi 2,500,000(baada ya makato ya kodi).Maisha mafupi nikasema wacha nikajipongeze kidogo nichakaze hiyo laki 5..huku nikiwa nimeibadilisha hiyo 2M kuwa USD kwa sababu napenda kuweka akiba ya fedha za kigeni.Baada ya kupata drinks zangu, wakati wakulipa bill nikajisahau labda nipo Texas marekani ama los angeles.pembeni yangu nilikua nimekaa kaunta na mdada flani hivi..kuna haja ya kuendelea kuzungumza? Kichwa cha habari kinaeleza yote..
Wewe hupendi dollari mwanangu?[emoji23][emoji23]