Habari wapendwa…
Hivi juzi apo niliona tangazo la kazi kutoka Western Governors University (ni chuo cha online originated huko Marekani), nikafanya interview ( phone interview) na siku chache mbeleni wakaniambia hongera kwa interview na wakanitaka nikusanye taarifa zangu za kibenki kwaajili ya malipo na Tax documents lakini kwenye bank wakasema wanataka iwe American Express Bank account ambapo walisema kama hauna tunaomba ufatilie uweze kuwa na account hiyo sababu ni sehemu ya utaratibu wao sababu pesa zao zinatoka moja kwa moja huko Marekani ambapo ni makao makuu zinaekwa kwa account izo ambapo wewe ndo unaweza kuziamisha kwenda your local account….
Wakanitumia link ya io account sababu sikuipata kwa simu yangu Sasa io account nimefungua lakini inatakaku activate ambapo inatakiwa kulipia 20usd sasa nawaza nilipie nipate kazi au watu hawa ni wezi??!
Hivi juzi apo niliona tangazo la kazi kutoka Western Governors University (ni chuo cha online originated huko Marekani), nikafanya interview ( phone interview) na siku chache mbeleni wakaniambia hongera kwa interview na wakanitaka nikusanye taarifa zangu za kibenki kwaajili ya malipo na Tax documents lakini kwenye bank wakasema wanataka iwe American Express Bank account ambapo walisema kama hauna tunaomba ufatilie uweze kuwa na account hiyo sababu ni sehemu ya utaratibu wao sababu pesa zao zinatoka moja kwa moja huko Marekani ambapo ni makao makuu zinaekwa kwa account izo ambapo wewe ndo unaweza kuziamisha kwenda your local account….
Wakanitumia link ya io account sababu sikuipata kwa simu yangu Sasa io account nimefungua lakini inatakaku activate ambapo inatakiwa kulipia 20usd sasa nawaza nilipie nipate kazi au watu hawa ni wezi??!