Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Unless uwahukumu kwa wanachosema (kuleta taaruki kwa jamii kwamba wanajamii wenzao ndio wamewaroga) au kwa kutakatisha pesa (kama una evidence) basi sioni tatizo lao katika kujaribu kujipatia mkate kwa kugawa hii Opium of the Mass (wengine wote wanafanya katika levels tofauti)
Na badala yake una kila haki na wajibu wa kuwabana wale wanaochukua wala bila kuomba bali kwa lazima.., inabidi kuwauliza wanachokichukua kinafanya nini ?
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Na badala yake una kila haki na wajibu wa kuwabana wale wanaochukua wala bila kuomba bali kwa lazima.., inabidi kuwauliza wanachokichukua kinafanya nini ?
Iwapo tunapunguza Utoaji Huduma (kubinafsisha); kwanini Kodi hazipungui? Je, tunaongeza kumbana Mwananchi ili kutoa (huduma) gani?
Kodi ni muhimu sana ili kufadhili shughuli za serikali, huduma kwa umma kama vile barabara na mashule, Usalama wa Jamii, Afya na Mengineyo. Sasa kama hata hayo kuanzia Elimu (Mikopo na Shule Binafsi); Afya tuna BIMA ya Afya na kulipia Private; Kuhakikisha wafanyakazi wanalipwa ujira stahiki...
Ustawi wa Jamii; A Penny Saved is a Penny Earned; Serikali inaweza Kumpunguzia Mzigo wa Matumizi Mwananchi hivyo Kumwongezea Kipato cha Kutumia
Maadui wetu hawajawahi Kubadilika Umasikini, Ujinga na Maradhi..., Vilevile Mahitahi Muhimu ya Binadamu hayabadilika (Chakula Malazi na Mavazi); Karne ya sasa ambayo sio kila mtu anaweza kuchukua Jembe na kwenda kulima mihogo na kupata kitoweo Pesa inahitajika. Hii ndio itakupatia mahitaji...