Niliona makaburi ya wafalme yamebomoka

Niliona makaburi ya wafalme yamebomoka

Dennis R Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
267
Reaction score
372
Makaburi yamebomoka mizizi imekatika,
Limebaki shina tu,
Zile zama za zaman zimeisha,
Kiburi na dharau zilikuponza,

Ulipenda kutumia nguvu kuliko akili,
Ulikataa maonyo ukakumbatia kiburi,
Ulimkufuru Mungu maksudi,
Utupu wako uko wazi kila mtu anauona,

Maji yaliyopoa ndo yenye nguvu,
Yakupasayo aman yalifichwa machoni pako,
Nyumba yako imefunikwa na ukiwa,
Ghasia na mifarakano haitakoma kwako,

Utatumia nguvu kurudisha enzi zako,
Hutaweza sababu mizizi imekatwa,
Dhambi yako imeandikwa kwa kalamu ya chuma na ncha ya almasi.
 
Kwani ni huyu huyu Mafuru ndio anawafanya watu wawe watunzi na waandishi kiasi hiki AU kuna jingine tusubiri?
 
Hukuona miungu ikizuka baada ya makaburi kubomoka?

Sasa sie tunaoishi milele, makaburi yanatuhusu nn?
 
Niko mitaa ya mdaula napita msoga, msata, segera, mambo, same, himo, moshi Arusha nipo na chopa virago hapa 2500cc prop shaft.

Nitarudi jumanne Dar labda mambo yaharibike sana ndio nitarudi next weekend.
 
Makaburi yamebomoka mizizi imekatika,
Limebaki shina tu,
Zile zama za zaman zimeisha,
Kiburi na dharau zilikuponza,

Ulipenda kutumia nguvu kuliko akili,
Ulikataa maonyo ukakumbatia kiburi,
Ulimkufuru Mungu maksudi,
Utupu wako uko wazi kila mtu anauona,

Maji yaliyopoa ndo yenye nguvu,
Yakupasayo aman yalifichwa machoni pako,
Nyumba yako imefunikwa na ukiwa,
Ghasia na mifarakano haitakoma kwako,

Utatumia nguvu kurudisha enzi zako,
Hutaweza sababu mizizi imekatwa,
Dhambi yako imeandikwa kwa kalamu ya chuma na ncha ya almasi.
unazungumzia chadema na uongozi sio gentleman 🐒
 
Makaburi yamebomoka mizizi imekatika,
Limebaki shina tu,
Zile zama za zaman zimeisha,
Kiburi na dharau zilikuponza,

Ulipenda kutumia nguvu kuliko akili,
Ulikataa maonyo ukakumbatia kiburi,
Ulimkufuru Mungu maksudi,
Utupu wako uko wazi kila mtu anauona,

Maji yaliyopoa ndo yenye nguvu,
Yakupasayo aman yalifichwa machoni pako,
Nyumba yako imefunikwa na ukiwa,
Ghasia na mifarakano haitakoma kwako,

Utatumia nguvu kurudisha enzi zako,
Hutaweza sababu mizizi imekatwa,
Dhambi yako imeandikwa kwa kalamu ya chuma na ncha ya almasi.
Ipo wazi

Zelensky akiwa kama dereva huku akiwa kayapakia mataifa ya ulaya... Marekani yeye anaonekana anaweza kuruka salama hata kama gari limepoteza break
 
Wewe ni CCM-mfu maana wenzio akina msechu wapo studio wanamalizia kuandaa single ya maombolezo
hawa wengine ndio wamefikia hatua hii sio gentleman dah, INASIKITISHA sana aise 🐒
 

Attachments

  • FB_IMG_1727243319355.jpg
    FB_IMG_1727243319355.jpg
    29.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom