Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakumbuka kabla Iran hajafanya shambulio la Oktoba Mosi alikaa miezi mingapi hadi anakuja kushambulia!??Mikwala Miiiiiiiiiingi kama Russia.
Nakukumbuka zamani mtu anatishia kupigana huku akivua shati na kutema mate chini halafu harushi hata ngumi moja.
Samaleko ndugu zangu wavaa kobasi na suruali za Kareti
Oyaa asubuhi hii kali uko jamvini unachangia mada. Kweli inaingia akilini? Unatakiwa sasa hivi unacharika huko vibaruani badala ya kudhihirisha wazi hadharani utopolo wako.Kwahiyo Iran hajarusha ngumi hata moja? au huo mfano wako ukoje?
Acha kuleta umuhimu kwenye maisha ya watu wewe, hii kazi anafanya mke wanguOyaa asubuhi hii kali uko jamvini unachangia mada. Kweli inaingia akilini? Unatakiwa sasa hivi unacharika huko vibaruani badala ya kudhihirisha wazi hadharani utopolo wako.
Haya faster kazini.
Anga alifunga la nini?Unakumbuka kabla Iran hajafanya shambulio la Oktoba Mosi alikaa miezi mingapi hadi anakuja kushambulia!??
Ukitoa mihemko ya kijinga utaelewa.
Oooh!!! Wewe bwana Suruali ya kareti jibu swali, tarehe 4 - 6 ni ipi sasa.Unakumbuka kabla Iran hajafanya shambulio la Oktoba Mosi alikaa miezi mingapi hadi anakuja kushambulia!??
Ukitoa mihemko ya kijinga utaelewa.
Hahaha hahaha waajemi Pro Iran wa Nyarugusu mmepinda balaa.Acha kuleta umuhimu kwenye maisha ya watu wewe, hii kazi anafanya mke wangu
Wana jeshi wa4 wa iran Raia mmojaIsrael ndo anamikwara kapelekea ndege 100 kuishambulia Iran kwa makombora elfu 1 alafu kombora moja tu ndo limefanikiwa kutungua embe.
Tulia uone operation true promise 3 ya Iran utashuhudia makombora yakitua pale Tel aviv live bila chenga siyo yale makombora ya Israel yasiyoonekana wala kuleta madhara
Chadema wametishwa siku ya maandamano mpaka leo wamekimbiana. Ujasiri anzeni kwenu kwanza kuliko kuwaangalia wenzenuKwahiyo Iran hajarusha ngumi hata moja? au huo mfano wako ukoje?
Chadema wametishwa siku ya maandamano mpaka leo wamekimbiana. Ujasiri anzeni kwenu kwanza kuliko kuwaangalia wenzenu. Wenzenu ujasiri ushafika pakubwaWana jeshi wa4 wa iran Raia mmoja
RAda + mifumo ya ulinzi
Kiwanda cha kutengeneza makombora
+ Other military infrastructure
The target hit was precisely sio
Nyie wavaa kobaz makombora 1000 mkaua raia 1 mpalestina alie kaidi kwenda kujihifadhi kwenye handaki
Mme pigwa panapo uma ndo maana mnakuja na ngonjera ya primise3 ya nyoko na safari hii mkijaribu tu mna rudi stone age
CHADEMA tena?!, naona huo mkanzu uliovaa Leo umekuzidi!Chadema wametishwa siku ya maandamano mpaka leo wamekimbiana. Ujasiri anzeni kwenu kwanza kuliko kuwaangalia wenzenu
Ritz Njoo utoe ufafanuzi hapa. Ile ahadi siku zinakatika. Wakumbushe Irani basiMikwala Miiiiiiiiiingi kama Russia.
Nakukumbuka zamani mtu anatishia kupigana huku akivua shati na kutema mate chini halafu harushi hata ngumi moja.
Samaleko ndugu zangu wavaa kobasi na suruali za Kareti
Huyataki au hujayapenda?CHADEMA tena?!, naona huo mkanzu uliovaa Leo umekuzidi!
Leta video tuone hayo makombora yakishuka Iran wewe mgalatia usie na akiliWana jeshi wa4 wa iran Raia mmoja
RAda + mifumo ya ulinzi
Kiwanda cha kutengeneza makombora
+ Other military infrastructure
The target hit was precisely sio
Nyie wavaa kobaz makombora 1000 mkaua raia 1 mpalestina alie kaidi kwenda kujihifadhi kwenye handaki
Mme pigwa panapo uma ndo maana mnakuja na ngonjera ya primise3 ya nyoko na safari hii mkijaribu tu mna rudi stone age