mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,174
- 2,912
Kupitia watu Kama huyu mtoa mada ndio walinifanya niachane na siasa za Chadema ,ulikua huniambii kitu kuhusu Chadema ,Ila nilipokuja gundua Ni watu wa kupinga Kila Jambo hata lenye tija kwa nchi niliamua kuchoma Hadi kadi yao.
Kwa mtu alieangalia lile pambano huwez kumbeza kidunda kwa viwango hivyo ,yule mkongo Ni fighter mzuri Sana pia mvumilivu lakin hii game alikua anakaa raund ya 7 au 8 ,asingemaliza pambano.
Hadi mtu anapiga kichwa means ashazidiwa ,njia pekee ya kumpunguza makali kidunda ilikua Ni kifanya ule uhuni.
Majitu ya Bavicha ndio màana siku izi mmekosa uungwaji mkono kwenye siasa zenu na 2025 mnaenda kula kipigo Cha mbwa Koko ikiwezekana kufutika kabisa kwenye siasa màana nyie Ni Zaid ya wachaw Kila kitu Ni kupinga tu.
Kwa mtu alieangalia lile pambano huwez kumbeza kidunda kwa viwango hivyo ,yule mkongo Ni fighter mzuri Sana pia mvumilivu lakin hii game alikua anakaa raund ya 7 au 8 ,asingemaliza pambano.
Hadi mtu anapiga kichwa means ashazidiwa ,njia pekee ya kumpunguza makali kidunda ilikua Ni kifanya ule uhuni.
Majitu ya Bavicha ndio màana siku izi mmekosa uungwaji mkono kwenye siasa zenu na 2025 mnaenda kula kipigo Cha mbwa Koko ikiwezekana kufutika kabisa kwenye siasa màana nyie Ni Zaid ya wachaw Kila kitu Ni kupinga tu.