Mwambwaro
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,309
- 3,522
hivi uliwahi kujiuliza kwanini mabondia wenu hawaendi kupigana nje ya nchi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi uliwahi kujiuliza kwanini mabondia wenu hawaendi kupigana nje ya nchi ?
Kidunda alikua captain wa Tanzania katika ngumi za ridhaa kwenye mashindano ya kimataifa, Amesha cheza Commonwealth games, Olimpic games sio bondia wa kubabaisha alikua mmoja wa mabondia tegeneo wa Tanzania katika mashindano ya kimataifa ya ridhaa.
Mimi naona amechelewa kuingia ngumi za kulipwa. Ukiacha faulo ya kupiga kichwa aliyocheza katompa bado Kidunda alikua akiongoza kwa point.
Msimchukulie poa Kidunda.
Acha uongo ww, alikuwa anaongoza kivp? Ww ndo ulihesabu?Sielewi wenzangu mlikuwa mnaangalia game ipi, mbona Kidunda alikuwa anaongoza kwa point kabla ya kuahirishwa pambano?[emoji44][emoji3061]
Kwan nani kasema heshima inacheza ngumi? Ww umemsemea maneno ya hovyo mara sjui muhuni ndiomana nimekwambia ni mtu poa sana jamaaHeshima haichezi ngumi
Ni majinga sana ila msiwe mnayaaquilina na kuyamawazo,muache kuwa u a.Kupitia watu Kama huyu mtoa mada ndio walinifanya niachane na siasa za Chadema ,ulikua huniambii kitu kuhusu Chadema ,Ila nilipokuja gundua Ni watu wa kupinga Kila Jambo hata lenye tija kwa nchi niliamua kuchoma Hadi kadi yao.
Kwa mtu alieangalia lile pambano huwez kumbeza kidunda kwa viwango hivyo ,yule mkongo Ni fighter mzuri Sana pia mvumilivu lakin hii game alikua anakaa raund ya 7 au 8 ,asingemaliza pambano.
Hadi mtu anapiga kichwa means ashazidiwa ,njia pekee ya kumpunguza makali kidunda ilikua Ni kifanya ule uhuni.
Majitu ya Bavicha ndio màana siku izi mmekosa uungwaji mkono kwenye siasa zenu na 2025 mnaenda kula kipigo Cha mbwa Koko ikiwezekana kufutika kabisa kwenye siasa màana nyie Ni Zaid ya wachaw Kila kitu Ni kupinga tu.
Ana medali ngapi za madola ? alipopigwa na Katompa mbona mlimuokoa na kusingizia droo ? kwenye rank za dunia kidunda ni namba ngapi ? wadanganyeni wajingahakuna bondia yeyote Africa anayeweza kumpiga kidunda
halafu ikawajeHii tabia ya Azam kurudia rudia mapambano yaliyopita siyo nzuri unaona sasa mtoa mada Anawaza pambano la Dullah Mbabe na Katompa badala ya mpambano wa Kidunda mtu mbaya!
Kifupi Kidunda alikuwa anatoa kichapo kizuri tu kwa Mkongo
huko kote alikoshiriki mashindano alileta nini ? ulichoandika hapa ndicho wengi wanaandika lakini hakuna ushahidi , hawa mabondia wa ngome ndio wanaongoza kwa utovu wa nidhamu mitaani , vurugu za kupiga raia kwenye Bar za Keko hawa ndio kazi yao , zaidi ya hicho hawana lolote lingine .
wafuatilie vizuri
Pelekeni hawa mabondia wakapigane nje ya nchi muone kitakachotokea
toka ameanza kupigana ngumi za kulipwa kashinda fights zote kwa KO. Alimuokoa nani,hukuona damu?Ana medali ngapi za madola ? alipopigwa na Katompa mbona mlimuokoa na kusingizia droo ? kwenye rank za dunia kidunda ni namba ngapi ? wadanganyeni wajinga