Nilionya kuhusu Katompa nikapuuzwa


Bora tuliongalia ile mechi tucomment

Maana kuna watu hawakuona lolote ila wapo busy kumponda yule mjeshi tu

Kifupi jamaa alikuwa anaongoza point
 
Sielewi wenzangu mlikuwa mnaangalia game ipi, mbona Kidunda alikuwa anaongoza kwa point kabla ya kuahirishwa pambano?[emoji44][emoji3061]
Acha uongo ww, alikuwa anaongoza kivp? Ww ndo ulihesabu?
Mnatuletea siasa zenu za chuplichupli hata kweny ngumi..
 
Ni majinga sana ila msiwe mnayaaquilina na kuyamawazo,muache kuwa u a.
 
hakuna bondia yeyote Africa anayeweza kumpiga kidunda
Ana medali ngapi za madola ? alipopigwa na Katompa mbona mlimuokoa na kusingizia droo ? kwenye rank za dunia kidunda ni namba ngapi ? wadanganyeni wajinga
 
Hii tabia ya Azam kurudia rudia mapambano yaliyopita siyo nzuri unaona sasa mtoa mada Anawaza pambano la Dullah Mbabe na Katompa badala ya mpambano wa Kidunda mtu mbaya!

Kifupi Kidunda alikuwa anatoa kichapo kizuri tu kwa Mkongo
halafu ikawaje
 

Wamuulze ibrah classic alpoenda urus wakarud kimya kmya
 
Ana medali ngapi za madola ? alipopigwa na Katompa mbona mlimuokoa na kusingizia droo ? kwenye rank za dunia kidunda ni namba ngapi ? wadanganyeni wajinga
toka ameanza kupigana ngumi za kulipwa kashinda fights zote kwa KO. Alimuokoa nani,hukuona damu?
Au ulitaka waendelee kupigana huku damu zinatoka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…