Nilipenda nisipopendwa

Nilipenda nisipopendwa

Hivi unajua mtu kukuchezea ni wewe mwenyewe unampa hiyo power?

Umem-entertain, hata huyo bwanako mpya naye ana walakini kukubali kuzungushwa kama pia.

Hivi fulani kweli utamkerembesha hivi aelewe? Anakupiga chini wewe na huyo bwana wa zamani wote.

Inategemea na umri pia.
 
poke mdada, funguka kwa hyo bwana mpya. mweleze ukweli na daima ukweli humweka mtu huru. kama hatakuelewa papo hapo atakuelewa bdae!
 
Naona wengi wametoa ushauri mzuri sana. Kweli, kaa chini mwambie ukweli huyo mpenzi wako wa sasa, mwambie nini kinachoendelea, usimfiche chochote. Halafu, huyo mwanaume wa zamani anaonekana mshamba sana, how come alikuwa anakutesa kihivyo? Yaani anaongea na simu na mpenzi wake mbele yako? Tatizo kuna wanaume wengine wakijua mwanamke amekufa kimapenzi wanaitumia hiyo chance vibaya. Pole sana dada.

Kumbe viloba vinasaidia umeandika vizuri sana safi kabisaa!
 
Hivi unajua mtu kukuchezea ni wewe mwenyewe unampa hiyo power?

Umem-entertain, hata huyo bwanako mpya naye ana walakini kukubali kuzungushwa kama pia.

Hivi fulani kweli utamkerembesha hivi aelewe? Anakupiga chini wewe na huyo bwana wa zamani wote.

Inategemea na umri pia.
Umeniibia maneno yangu.
 
vipi jasmin umeshaongea nae, maana ndio muda wa free huu, tujuze! tujuze! maana jf tunapeana mbinu nyingi tungependa kujua na matokeo ili tuzidocument
 
WanaJF mko juu nawashukuru sana wote kwa ujumla kwa ushauri wenu mzuri aisee nimefurah sana. nimeongea nae mpenzi wangu kwa kirefu nashukuru mungu amenielewa sasa nafikiria nimfanyeje huyu anayetaka kuniharibia mahusiano yangu na m2 anaenijali na kunithamini
 
aaah! mbona unataka kuharibu tena, si umpotezee tu na namba ufute, ushari wa nini tena!
 
Back
Top Bottom