Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo na mwanamke

Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo na mwanamke

Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo ……………… na mwanamke , ikabidi nipande boda faster nikamfumanie cha kushangaza sijamkuta nampigia namwambia nipo ………….. hapa ulikua na bitch wako umekimbia anasema ww Unafanya nn masaki mida Hii si ulisema Upo kwako , Yani nimemtukana nikamwambia Basi nakufata ulipo tuma location hataki anangabgania umekuja…………….. kufanya nn Au una mwanaume?

Ikabidi niende kwake nimekuta hayupo nampigia hataki kusema yupo wapi, nimewapigia his friends wanajifanya hawajui yupo wapi nimewatukana. Ikabidi niende Mbezi beach kwa wazazi wake nikamkuta sis wake nae anasema hajamuona kitambo kajaribu kumpigia akapokea wakawa wanaongea kwa code akanijibu Eti hataki kumwambia yupo wapi.

Nimeamua nirudi, kanipigia nkamwambia weka video call naskia wanawake wanacheka cheka kwenye gari yani nimemtukana mpk nataka kupandwa ukichaa. Nimemwambia asipo kuja leo usiku Basi kesho asubuhi naenda kufanya vurugu kazini kwake kajibu am on my way . 😡😡😡😡😡 yani uyu Lucifer namsubiri kwa hamu na nimekunywa zangu wine za kutosha ili nipambane nae vizuri mmmmxxxxiiieeeuuuww.
Ninajua thread hii haiwezi kuwa na muendelezo kutoka kwako.

Unamnywea wine ya kupandisha ashki, jamaa akiingia akikutaka kukulala wadhani utamnyima?

Na ukimnyima Jf itakushangaa ni kitu gani ulikuwa ukimtafutia mpaka kupelekea kupandisha hasira za kutukana mawifi na shemeji zako!

Jamaa anakujua madhaifu yako, akishakukojoza hauwezi kurudi tena Jf kumuombea radhi, itakuwa imeshatoka hiyo.

Nakushauri akija jifanye mjinga usimtukane nyege zikakata ikawa ugomvi, wewe mpange kwa kumbembeleza na uwe unamhonga hela kubwa za masharti uone kama atakuletea tena ujinga wake wa kuruka ruka na malaya wasio wa hadhi yako, kwani hela kitu gani bhana?
 
Mapenzi yatakuuwa. Yaani unazidiwa akili na mdogo wangu cacutee mpe somo dada ako amekuwa chizi mapenzi.
 
Niliwahi kudate mtu wa aina yako.

Ila sasa maajabu yake ni kuwa.

Wakati mwingine akipiga simu ukipokea hataki ukate anaiacha hewani mpaka salio likate.

Halafu anapiga tena.
 
Zakuambiwa changanya na zako! Kama umefunga ndoa naye utaibomoa sasa hivi.
 
Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo ……………… na mwanamke , ikabidi nipande boda faster nikamfumanie cha kushangaza sijamkuta nampigia namwambia nipo ………….. hapa ulikua na bitch wako umekimbia anasema ww Unafanya nn masaki mida Hii si ulisema Upo kwako , Yani nimemtukana nikamwambia Basi nakufata ulipo tuma location hataki anangabgania umekuja…………….. kufanya nn Au una mwanaume?

Ikabidi niende kwake nimekuta hayupo nampigia hataki kusema yupo wapi, nimewapigia his friends wanajifanya hawajui yupo wapi nimewatukana. Ikabidi niende Mbezi beach kwa wazazi wake nikamkuta sis wake nae anasema hajamuona kitambo kajaribu kumpigia akapokea wakawa wanaongea kwa code akanijibu Eti hataki kumwambia yupo wapi.

Nimeamua nirudi, kanipigia nkamwambia weka video call naskia wanawake wanacheka cheka kwenye gari yani nimemtukana mpk nataka kupandwa ukichaa. Nimemwambia asipo kuja leo usiku Basi kesho asubuhi naenda kufanya vurugu kazini kwake kajibu am on my way . [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] yani uyu Lucifer namsubiri kwa hamu na nimekunywa zangu wine za kutosha ili nipambane nae vizuri mmmmxxxxiiieeeuuuww.
Sema mwanaume wetu siyo wangu. Toka lini mwanaume akawa hivyo wee mwenyewe pampula mlikutana bar si umesema umebwia.
 
Mapenzi yatakuuwa. Yaani unazidiwa akili na mdogo wangu cacutee mpe somo dada ako amekuwa chizi mapenzi.
😂😂😂😂
Aende akawaongezee na ndom kabisa
Ya nini kujitaabisha nafsi kwa matendo ya mtu aliyeamua akiwa na akili zake timamuu
 
Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo ……………… na mwanamke , ikabidi nipande boda faster nikamfumanie cha kushangaza sijamkuta nampigia namwambia nipo ………….. hapa ulikua na bitch wako umekimbia anasema ww Unafanya nn masaki mida Hii si ulisema Upo kwako , Yani nimemtukana nikamwambia Basi nakufata ulipo tuma location hataki anangabgania umekuja…………….. kufanya nn Au una mwanaume?

Ikabidi niende kwake nimekuta hayupo nampigia hataki kusema yupo wapi, nimewapigia his friends wanajifanya hawajui yupo wapi nimewatukana. Ikabidi niende Mbezi beach kwa wazazi wake nikamkuta sis wake nae anasema hajamuona kitambo kajaribu kumpigia akapokea wakawa wanaongea kwa code akanijibu Eti hataki kumwambia yupo wapi.

Nimeamua nirudi, kanipigia nkamwambia weka video call naskia wanawake wanacheka cheka kwenye gari yani nimemtukana mpk nataka kupandwa ukichaa. Nimemwambia asipo kuja leo usiku Basi kesho asubuhi naenda kufanya vurugu kazini kwake kajibu am on my way . 😡😡😡😡😡 yani uyu Lucifer namsubiri kwa hamu na nimekunywa zangu wine za kutosha ili nipambane nae vizuri mmmmxxxxiiieeeuuuww.
Shosti una muda wa kuchezea ww
 
Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo ……………… na mwanamke , ikabidi nipande boda faster nikamfumanie cha kushangaza sijamkuta nampigia namwambia nipo ………….. hapa ulikua na bitch wako umekimbia anasema ww Unafanya nn masaki mida Hii si ulisema Upo kwako , Yani nimemtukana nikamwambia Basi nakufata ulipo tuma location hataki anangabgania umekuja…………….. kufanya nn Au una mwanaume?

Ikabidi niende kwake nimekuta hayupo nampigia hataki kusema yupo wapi, nimewapigia his friends wanajifanya hawajui yupo wapi nimewatukana. Ikabidi niende Mbezi beach kwa wazazi wake nikamkuta sis wake nae anasema hajamuona kitambo kajaribu kumpigia akapokea wakawa wanaongea kwa code akanijibu Eti hataki kumwambia yupo wapi.

Nimeamua nirudi, kanipigia nkamwambia weka video call naskia wanawake wanacheka cheka kwenye gari yani nimemtukana mpk nataka kupandwa ukichaa. Nimemwambia asipo kuja leo usiku Basi kesho asubuhi naenda kufanya vurugu kazini kwake kajibu am on my way . 😡😡😡😡😡 yani uyu Lucifer namsubiri kwa hamu na nimekunywa zangu wine za kutosha ili nipambane nae vizuri mmmmxxxxiiieeeuuuww.
mmmmxxxxiiieeeuuuww, umelipatia kuliandika👏👏👏
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cjui nacheka nn hata, woiiiiih
 
Hapa hakuna mwanamke,yule jamaa yupo sawa kutoka na wanawake wengine.
 
Mke mwenyewe anaonekana kiraru raru, halafu mlevi (anadai amekunywa wine za kutosha). Huyu ni kahaba aliyeolewa.
 
Huo muda bora ule biriani manda ukimaliza umalizie bando kwa wakorea
Utampata true love wako huko🤣🤣🤣🤣
 
Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo ……………… na mwanamke , ikabidi nipande boda faster nikamfumanie cha kushangaza sijamkuta nampigia namwambia nipo ………….. hapa ulikua na bitch wako umekimbia anasema ww Unafanya nn masaki mida Hii si ulisema Upo kwako , Yani nimemtukana nikamwambia Basi nakufata ulipo tuma location hataki anangabgania umekuja…………….. kufanya nn Au una mwanaume?

Ikabidi niende kwake nimekuta hayupo nampigia hataki kusema yupo wapi, nimewapigia his friends wanajifanya hawajui yupo wapi nimewatukana. Ikabidi niende Mbezi beach kwa wazazi wake nikamkuta sis wake nae anasema hajamuona kitambo kajaribu kumpigia akapokea wakawa wanaongea kwa code akanijibu Eti hataki kumwambia yupo wapi.

Nimeamua nirudi, kanipigia nkamwambia weka video call naskia wanawake wanacheka cheka kwenye gari yani nimemtukana mpk nataka kupandwa ukichaa. Nimemwambia asipo kuja leo usiku Basi kesho asubuhi naenda kufanya vurugu kazini kwake kajibu am on my way . 😡😡😡😡😡 yani uyu Lucifer namsubiri kwa hamu na nimekunywa zangu wine za kutosha ili nipambane nae vizuri mmmmxxxxiiieeeuuuww.
Pole na hongera Kwa wivu ukikua utaacha je Leo dudu utampa? Hahaha maana utataka ujue km ametumika Tena atafanya vizuri zaidi
 
Pombe ikiisha rudi upitie utumbo ulioandika hapa, nilijua upo timamu kumbe umelewa tutathibitishaje kuwa siyo pombe inayoongea?
 
Mimi sijui ndio huwa sielewi! Kuna ID humu akili ilishagoma kabisa kukubali kuwa ni za kike
 
Umekunywa wine ili upigwe Dudu vizuri, ohh aaa shiiii mmm kojoa beby mmm nakupenda oooo shiii namwagaaaa. Pumbavu😠
 
Back
Top Bottom