Nilipoenda kwa rafiki yangu wa kisukuma leo nimekaribishwa na hii kitu!!

Nilipoenda kwa rafiki yangu wa kisukuma leo nimekaribishwa na hii kitu!!

Behaviourist

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2016
Posts
39,926
Reaction score
95,626
Nilistuck!
 

Attachments

  • 14202640_1598131153816789_8691018495216267915_n.jpg
    14202640_1598131153816789_8691018495216267915_n.jpg
    50.2 KB · Views: 83
Kwanini haikuniambia twende wote?
kumbe shem na wewe ni mdau wa hii kitu??........ila niliogopa kuwa leo usiku kaka yangu atakoma kwa mabomu ya nyuklia utakayokuwa unatoa usiku na ukizingatia tena uliwahi kusema kuwa huwa uko huru kutoa mabomu mbele yake!!!
 
Niliweka thread hapa ya utani kuhusu Wachagga ikaondolewa wangu wangu eti ina-entertain ukabila. Hizi zinazohusu Wasukuma mbona zinaachwa? JF ya siku hizi wala haitabiriki haki ya nani.

Anyway, huo mlo wako hauhusiani kwa namna yo yote ile na Usukuma wa rafiki yako unless kama kuna kitu kingine ulichokuwa unajaribu kusema.
 
Back
Top Bottom