Nilipoiona tu 'Signal' moja iliyofanywa Kiutaalam Uwanjani, nilijua tu kinachofuata ni Goli la Jioooooooooooniiiiiiii....

Upuuzi tu
 
Upuuzi tu
Unauzidi huu Upuuzi wako hapa chini kwa kujua fika kuwa unajua hujui Kiingereza halafu unajitutumua Kukiandika halafu Unakikisea na Kukichapia?



Nasubiri majibu tafadhali.
 
Ashukuliwe mzize, kwenye ile taulo ya kipa wa dodoma jiji kulikuwa na ndumba

Kwa nini kipa hakulirudisha sasa kama lilikuwa na ndumba.?

Ila mzize kwao wanga sana. Haihusiani na tukio la jana.
 
yaani baada ya mzize kutoa kile kitu kilichowekwa kwenye lile taulo la kipa pale golini, nikajisemea hapa chuma inaaingia mda si mrefu.

mzize mbali na kuwa mchezaji anafaa pia kuwa mganga.
Wanaoamini uchawi leo walikua tabora huko
 

Attachments

  • VID-20240206-WA0020.mp4
    5.8 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…