😀😀ofa haichagui jinsia aseeNitasikitika kama utasema wewe ni mwanaume.
Ukamuita Simbaaa
Alipokuja akakupa elfu 10
Dar es Salaam kuna mambo sana
HahahahNitasikitika kama utasema wewe ni mwanaume.
Ukamuita Simbaaa
Alipokuja akakupa elfu 10
Dar es Salaam kuna mambo sana
HahaSema ulimuomba hela sio kuongea nae
we jamaa umeamua kumchosha mwanzisha mada, unajifanya mgumu kumbe ndo wale wale...Kwanza siwezi kumuita mwanaume mwenzangu labda niwe na issue naye, we ulichokifanya ni kumshobokea Diamond.
Sasa mwanaume unaanzaje kumshobokea mwanaume mwenzako?
Huko Dsm mnaishi kipekee sana.
Wale wale ni wewe unayedhani ukiwa shabiki wa mtu fulani basi ni lazima umshobokee kama mwanamkewe jamaa umeamua kumchosha mwanzisha mada, unajifanya mgumu kumbe ndo wale wale...
😂😂Sema ulimuomba hela sio kuongea nae
Kuna tofauti gani na wewe uliyeona uzi wa mshkaji ukawashwa uufungue usome kama siyo kushoboka umefungua umefikaje humuWale wale ni wewe unayedhani ukiwa shabiki wa mtu fulani basi ni lazima umshobokee kama mwanamke
[emoji23]Nitasikitika kama utasema wewe ni mwanaume.
Ukamuita Simbaaa
Alipokuja akakupa elfu 10
Dar es Salaam kuna mambo sana
Nilifungua ili nimpe za uso.Kuna tofauti gani na wewe uliyeona uzi wa mshkaji ukawashwa uufungue usome kama siyo kushoboka umefungua umefikaje humu
Mkuu inaonesha huamini mfumo wa maisha yako huko simuyu ,kila mji na mifumo yake huku mtu akifanya maendeleo tunamsifu balaa huko mnamloga ,so relax wanaume wa dar mbona hawafatilii ya simiyu mkuu pambana na kilimo Cha mkono ukivuna sisi wa dar tutaamua beiWhatever the case, ni ushamba mkubwa sana mwanaume kumshobokea mwanaume mwenzio na kumuita kwenye umati wa watu eti kisa ni maarufu.
Hiyo Dsm inawajaza ujinga baadhi yenu.
Alafu unaona tulioko mkoani washamba wakati wewe uko Dsm ndio mshamba zaidi unakua na mihemuko ya kike.
Hawa wanatufanya wanaume wa Dar tunadhalaulika.Nitasikitika kama utasema wewe ni mwanaume.
Ukamuita Simbaaa
Alipokuja akakupa elfu 10
Dar es Salaam kuna mambo sana