Nilipokutana na vibaka usiku nikiwa na girlfriend wangu

Nakusahihisha mahali padogo;

Hakuna kitu duniani kinaitwa shell (sheli) ya Gapco,ulipaswa useme 'petrol station ya Gapco' shell ni kituo cha mafuta km ilivyo Gapco

Tunasubiri mwendelezo....
Na jina bajaji mara nyingine kausha
 
Nitaksoma kama storiya masimulizi ya kusadikika ila kwa uhalisia ulipotaja tukio limekukuta hadi matejoo aisee ni kipande mzee na akivuka kufika huko huku anaburuta demo aloo ni movie
 
Mi mwenyewe alipofika?hapo nikajua huyu anatuchotea chai tu
 
Mwamba alitunga stori akafika sehemu akaona wazi kabisa anakoelekea ni lazima atasema yeye na demu wake walikulwa akaona isiwe taabu akimbie tu uzi wake.
 
Hii story kuna sehemu ndogo tu alijisahau akaharibu ila kinyume na hapo alikuwa tayari ameshawaweka watu kwenye target nzuri.
 
Kwa uzoefu wa jf, wewe ukileta jambo lako, elezea tu mpaka mwisho, usijishughulishe na wengine wanasema nini.
Sisi wasomaji wengine, huwa tunafuata kile wewe muanzilishi na mleta habari unachoandika. Sasa hata sioni muendelezo!
 
Huyu dogo halijui chuga anatulisha matango pori ila wazee wa chuga tumemstukia
 
Acha kutulisha matango pori wewe kutoka fire street mpaka kuibukia matejo duh[emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…