Beetle ni mjukuu wa Fiat Iveconilijua ndege ni ya baba
Helicopter imetoka kwa Osama bin ladeni
Tuliambiwa watoto wanauzwa hospital
Akina mama wa Africa "Mungu anawaona"Tuliambiwa watoto wanauzwa hospital
Nilijua elimu ni bora kuliko fedha
Hahaha .. Mvua ikinyesha huku jua linawaka basi kuna mchawi kafa au Simba kazaa [emoji23]Akina mama wa Africa "Mungu anawaona"
Mkubwa hajambiNilijua mkubwa huwa hakosei
Ha ha ha nimecheka kwa sauti kuu
Daaaah hahahaNilijua sabuni ni kwa ajili ya kuogea tu, kumbe inaweza pia kupunguza kibururu
Hahahaha, ila kumbe mambo ni kinyumeee na tuliitetea Elimu, kumbe tungejua ukweli tungeacha madarasa bila watu..Nilijua elimu ni bora kuliko fedha
ππππNilijua kweli ni makangabiliti kumbe ni.......making ability π
Mimi nimejua leoππππ