Nilipompenda Bila Kujua: Penzi Langu na Mwanafunzi wa Kidato cha Mwisho

Nilipompenda Bila Kujua: Penzi Langu na Mwanafunzi wa Kidato cha Mwisho

kingkongtz

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2019
Posts
1,058
Reaction score
3,613
wakuu kwema
natumain mko salama kabisa

Ninachangamoto kubwa hapa imetokea naombeni ushauri .

Nilikuw na mahusiano na binti mmoja ivi alitokea kunielewa ana miaka 18 basi tukajikuta tupo kwenye mahusiano na tukapendana sana tatzo lilikuja baada ya kugundua ni mwanafunzi na yupo kidato cha mwisho,mwaka huu anamaliza.

Baada ya kusikia ivo nikaona hakuna haja ya kuendelea nae isitoshe ni majiran na kibaya zaid kumbe mamayake alikuw anatufuatilia bila kujua.

sasa wakuu niliona nivunje mahusiano na huyu binti kwa kumdanganya naoa ,alihuzunika mno ila badae akawa muelewa tukabak washkaj wa mbalmbal kwa zaid ya miez 3,

Wiki iliyoisha nilipata msiba nikatoka msiba ulivoisha nikarudi kuendeleza majukum ya utafutaj

TUKIO
Jana kipind narudi aliniona na akapanga kuja kunipa pole tu kiroho safi na sijamgusia chochote,baada ya story story ikabid aniage kwa kunihug ghafla mama ake mzaz akaingia ndani ameongozana na dadazake na huyu binti

sikuongea chochote ila nilisikiliza tu maongez yake

"kijana huyu binti siunampenda bas nakukabidh umuoe,na nimemuacha hapa kwako tafadhal nitunzie binti yangu...nilikuwa nauwezo mkubwa wa kuita police au kuita majiran na kuleta fujo ila tumekukabidhi sisi tunaondoka asikanyage nyumban tena.

Wakuu yule binti ilibid nimdanganye kuwa aende nyumban nikachukue wazee waje tumalize suala,alikubal kishingo upande ila akadai mama atamuua kwa fimbo,

sasa baada ya kumtoa ndan na mimi nikafunga geto nikaescape msala ,naombeni ushaur nifanyeje na tunakaa karibu (ni majiran)

Binti yeye anajua mwezi ujao naoa na nishalipa mahari pengine na mahusiano na yy yaliyukw yameshaisha.

nishaurin nifanyeje
 
Una umr
wakuu kwema
natumain mko salama kabisa

ninachangamoto kubwa hapa imetokea naombeni ushauri .

nilikuw na mahusiano na binti mmoja ivi alitokea kunielewa ana miaka 18 basi tukajikuta tupo kwenye mahusiano na tukapendana sana tatzo lilikuja baada ya kugundua ni mwanafunzi na yupo kidato cha mwisho,mwaka huu anamaliza.

baada ya kusikia ivo nikaona hakuna haja ya kuendelea nae isitoshe ni majiran na kibaya zaid kumbe mamayake alikuw anatufuatilia bila kujua.


sasa wakuu niliona nivunje mahusiano na huyu binti kwa kumdanganya naoa ,alihuzunika mno ila badae akawa muelewa tukabak washkaj wa mbalmbal kwa zaid ya miez 3,

wiki iliyoisha nilipata msiba nikatoka msiba ulivoisha nikarudi kuendeleza majukum ya utafutaj

TUKIO
jana kipind narudi aliniona na akapanga kuja kunipa pole tu kiroho safi na sijamgusia chochote,baada ya story story ikabid aniage kwa kunihug ghafla mama ake mzaz akaingia ndani ameongozana na dadazake na huyu binti

sikuongea chochote ila nilisikiliza tu maongez yake

"kijana huyu binti siunampenda bas nakukabidh umuoe,na nimemuacha hapa kwako tafadhal nitunzie binti yangu...nilikuwa nauwezo mkubwa wa kuita police au kuita majiran na kuleta fujo ila tumekukabidhi sisi tunaondoka asikanyage nyumban tena.


wakuu yule binti ilibid nimdanganye kuwa aende nyumban nikachukue wazee waje tumalize suala,alikubal kishingo upande ila akadai mama atamuua kwa fimbo,

sasa baada ya kumtoa ndan na mm nikafunga geto nikaescape msala ,naombeni ushaur nifanyeje na tunakaa karibu (ni majiran)

binti yy anajua mwez ujao naoa na nishalipa mahari pengine na mahusiano na yy yaliyukw yameshaisha.

nishaurin nifanyeje
i gani nilisoma nusu tu nkahisi wote wanafunzi

Mtu mzima hawezi Fanya haya
NTARUDI baadae
Pambana na haliyako
 
wakuu kwema
natumain mko salama kabisa

ninachangamoto kubwa hapa imetokea naombeni ushauri .

nilikuw na mahusiano na binti mmoja ivi alitokea kunielewa ana miaka 18 basi tukajikuta tupo kwenye mahusiano na tukapendana sana tatzo lilikuja baada ya kugundua ni mwanafunzi na yupo kidato cha mwisho,mwaka huu anamaliza.

baada ya kusikia ivo nikaona hakuna haja ya kuendelea nae isitoshe ni majiran na kibaya zaid kumbe mamayake alikuw anatufuatilia bila kujua.


sasa wakuu niliona nivunje mahusiano na huyu binti kwa kumdanganya naoa ,alihuzunika mno ila badae akawa muelewa tukabak washkaj wa mbalmbal kwa zaid ya miez 3,

wiki iliyoisha nilipata msiba nikatoka msiba ulivoisha nikarudi kuendeleza majukum ya utafutaj

TUKIO
jana kipind narudi aliniona na akapanga kuja kunipa pole tu kiroho safi na sijamgusia chochote,baada ya story story ikabid aniage kwa kunihug ghafla mama ake mzaz akaingia ndani ameongozana na dadazake na huyu binti

sikuongea chochote ila nilisikiliza tu maongez yake

"kijana huyu binti siunampenda bas nakukabidh umuoe,na nimemuacha hapa kwako tafadhal nitunzie binti yangu...nilikuwa nauwezo mkubwa wa kuita police au kuita majiran na kuleta fujo ila tumekukabidhi sisi tunaondoka asikanyage nyumban tena.


wakuu yule binti ilibid nimdanganye kuwa aende nyumban nikachukue wazee waje tumalize suala,alikubal kishingo upande ila akadai mama atamuua kwa fimbo,

sasa baada ya kumtoa ndan na mm nikafunga geto nikaescape msala ,naombeni ushaur nifanyeje na tunakaa karibu (ni majiran)

binti yy anajua mwez ujao naoa na nishalipa mahari pengine na mahusiano na yy yaliyukw yameshaisha.

nishaurin nifanyeje
Uwe unasoma thread za JF Kwa Afya ya akili yako , kuna member alizungumzia jambo Kama lako hivi karibuni .


👇🏾


Thread 'Mtaani kuna Black-Mail system wanaume kuweni makini sana.' Mtaani kuna Black-Mail system wanaume kuweni makini sana.
 
wakuu kwema
natumain mko salama kabisa

ninachangamoto kubwa hapa imetokea naombeni ushauri .

nilikuw na mahusiano na binti mmoja ivi alitokea kunielewa ana miaka 18 basi tukajikuta tupo kwenye mahusiano na tukapendana sana tatzo lilikuja baada ya kugundua ni mwanafunzi na yupo kidato cha mwisho,mwaka huu anamaliza.

baada ya kusikia ivo nikaona hakuna haja ya kuendelea nae isitoshe ni majiran na kibaya zaid kumbe mamayake alikuw anatufuatilia bila kujua.


sasa wakuu niliona nivunje mahusiano na huyu binti kwa kumdanganya naoa ,alihuzunika mno ila badae akawa muelewa tukabak washkaj wa mbalmbal kwa zaid ya miez 3,

wiki iliyoisha nilipata msiba nikatoka msiba ulivoisha nikarudi kuendeleza majukum ya utafutaj

TUKIO
jana kipind narudi aliniona na akapanga kuja kunipa pole tu kiroho safi na sijamgusia chochote,baada ya story story ikabid aniage kwa kunihug ghafla mama ake mzaz akaingia ndani ameongozana na dadazake na huyu binti

sikuongea chochote ila nilisikiliza tu maongez yake

"kijana huyu binti siunampenda bas nakukabidh umuoe,na nimemuacha hapa kwako tafadhal nitunzie binti yangu...nilikuwa nauwezo mkubwa wa kuita police au kuita majiran na kuleta fujo ila tumekukabidhi sisi tunaondoka asikanyage nyumban tena.


wakuu yule binti ilibid nimdanganye kuwa aende nyumban nikachukue wazee waje tumalize suala,alikubal kishingo upande ila akadai mama atamuua kwa fimbo,

sasa baada ya kumtoa ndan na mm nikafunga geto nikaescape msala ,naombeni ushaur nifanyeje na tunakaa karibu (ni majiran)

binti yy anajua mwez ujao naoa na nishalipa mahari pengine na mahusiano na yy yaliyukw yameshaisha.

nishaurin nifanyeje
Duuu!
 
🧠40% + 🥵🍆60%

Kwakweli kaka it’s so eazy to recognize student

Ni tamaa zetu za kimwili tu

We kimbia kwanza sikilizia huo msala ukiwa mbali na hapo kwanza
 
Umepiga Mboze na Mbize kwa Teo moja.
Maneno ya Mzee hayaanguki chini kijana.
Tuepuke kuwa Masalata tusije pelekwa Jongomeo Mana umejitwaalia Panopano kwa kicheko taarusi.

Ulumbi kila pahala.
Huyo ni wako.
 
Back
Top Bottom