Nilipompenda Bila Kujua: Penzi Langu na Mwanafunzi wa Kidato cha Mwisho

Nilipompenda Bila Kujua: Penzi Langu na Mwanafunzi wa Kidato cha Mwisho

wakuu kwema
natumain mko salama kabisa

Ninachangamoto kubwa hapa imetokea naombeni ushauri .

Nilikuw na mahusiano na binti mmoja ivi alitokea kunielewa ana miaka 18 basi tukajikuta tupo kwenye mahusiano na tukapendana sana tatzo lilikuja baada ya kugundua ni mwanafunzi na yupo kidato cha mwisho,mwaka huu anamaliza.

Baada ya kusikia ivo nikaona hakuna haja ya kuendelea nae isitoshe ni majiran na kibaya zaid kumbe mamayake alikuw anatufuatilia bila kujua.

sasa wakuu niliona nivunje mahusiano na huyu binti kwa kumdanganya naoa ,alihuzunika mno ila badae akawa muelewa tukabak washkaj wa mbalmbal kwa zaid ya miez 3,

Wiki iliyoisha nilipata msiba nikatoka msiba ulivoisha nikarudi kuendeleza majukum ya utafutaj

TUKIO
Jana kipind narudi aliniona na akapanga kuja kunipa pole tu kiroho safi na sijamgusia chochote,baada ya story story ikabid aniage kwa kunihug ghafla mama ake mzaz akaingia ndani ameongozana na dadazake na huyu binti

sikuongea chochote ila nilisikiliza tu maongez yake

"kijana huyu binti siunampenda bas nakukabidh umuoe,na nimemuacha hapa kwako tafadhal nitunzie binti yangu...nilikuwa nauwezo mkubwa wa kuita police au kuita majiran na kuleta fujo ila tumekukabidhi sisi tunaondoka asikanyage nyumban tena.

Wakuu yule binti ilibid nimdanganye kuwa aende nyumban nikachukue wazee waje tumalize suala,alikubal kishingo upande ila akadai mama atamuua kwa fimbo,

sasa baada ya kumtoa ndan na mimi nikafunga geto nikaescape msala ,naombeni ushaur nifanyeje na tunakaa karibu (ni majiran)

Binti yeye anajua mwezi ujao naoa na nishalipa mahari pengine na mahusiano na yy yaliyukw yameshaisha.

nishaurin nifanyeje
Kama umepanga mbona vyepesi kutoroka labda useme hapo ni kwenu kabisa ndio masala unapoanzia
 
wakuu kwema
natumain mko salama kabisa

Ninachangamoto kubwa hapa imetokea naombeni ushauri .

Nilikuw na mahusiano na binti mmoja ivi alitokea kunielewa ana miaka 18 basi tukajikuta tupo kwenye mahusiano na tukapendana sana tatzo lilikuja baada ya kugundua ni mwanafunzi na yupo kidato cha mwisho,mwaka huu anamaliza.

Baada ya kusikia ivo nikaona hakuna haja ya kuendelea nae isitoshe ni majiran na kibaya zaid kumbe mamayake alikuw anatufuatilia bila kujua.

sasa wakuu niliona nivunje mahusiano na huyu binti kwa kumdanganya naoa ,alihuzunika mno ila badae akawa muelewa tukabak washkaj wa mbalmbal kwa zaid ya miez 3,

Wiki iliyoisha nilipata msiba nikatoka msiba ulivoisha nikarudi kuendeleza majukum ya utafutaj

TUKIO
Jana kipind narudi aliniona na akapanga kuja kunipa pole tu kiroho safi na sijamgusia chochote,baada ya story story ikabid aniage kwa kunihug ghafla mama ake mzaz akaingia ndani ameongozana na dadazake na huyu binti

sikuongea chochote ila nilisikiliza tu maongez yake

"kijana huyu binti siunampenda bas nakukabidh umuoe,na nimemuacha hapa kwako tafadhal nitunzie binti yangu...nilikuwa nauwezo mkubwa wa kuita police au kuita majiran na kuleta fujo ila tumekukabidhi sisi tunaondoka asikanyage nyumban tena.

Wakuu yule binti ilibid nimdanganye kuwa aende nyumban nikachukue wazee waje tumalize suala,alikubal kishingo upande ila akadai mama atamuua kwa fimbo,

sasa baada ya kumtoa ndan na mimi nikafunga geto nikaescape msala ,naombeni ushaur nifanyeje na tunakaa karibu (ni majiran)

Binti yeye anajua mwezi ujao naoa na nishalipa mahari pengine na mahusiano na yy yaliyukw yameshaisha.

nishaurin nifanyeje
Hapo ushaur wa msingi huwezi kuupata maana umetudanganya yaan mtu uponaye jiran na usijue kama anasoma
PAmbanalo kiume mbona ni ishu ndogo tuuh
 
Tangu lini ukaanza kutoa ushauri kwa mafurushi? You are letting me down big time! !😣🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
Sasa kila siku ndio yanazidi kuongezeka tafanyaje!! Unawapa tu kulingana na ufurushi wao🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Unajua vijana hawana akili

Binti anayesoma anajulikana ni mtu mjinga ambaye anaweza kuanzisha mahusiano na Mwanamke pasipo kutrace background yake.


Hii biashara imeanza zamani Sana ipo hiv wazazi wa wakiswahili akisha notice unatembea na mwanae .

Atakufatilia baadae akimaliza atakutengenezea trap , yaani atampanga huyo biniti aje kwako na hapo akija tu utavamiwa na wtakuambia umuoe , au umembaka au unatembea nae .

Kinachofata hapo ni kutoa pesa Kama hauna utajikuta upo nyuma ya nondo kimasihala na hapo hautaamini macho yako .


Hawa watoto wa mtaani usiwaone hivi wanshobokea wanaume , hawana akili ukitembea nae lazima akibanwa atasema yote jinsi ulivyokuwa unamkunja so tutumie Sana Akili we need to play smart.
 
Wasichana wasiosoma wenye 18+ yrs wamejaa kibao street,waliomaliza form four wenye 18+ yrs na hawana ramani wapo wengi sn street,wasimbe,wadangaji na mishangazi ndio usiseme,sioni sababu kwanini uchokoze sheria za nchi! Acha kabisa ku_deal na uniform au under 🔞,ACHAAA
 

Attachments

  • IMG_20240416_231645.jpg
    IMG_20240416_231645.jpg
    50 KB · Views: 1
Nilikuw na mahusiano na binti mmoja ivi alitokea kunielewa ana miaka 18 basi tukajikuta tupo kwenye mahusiano
Upo kwenye mahusiano ya ngono na binti wa miaka 18. Huyo mtu mzima mwenzio, je ulimkuta bikra?

na tukapendana sana
Mlipendana au mlifurahia ngono yenu? Mngependana ungempa ahadi ya kuoa akimaliza masomo na kwasasa ungestisha ngono asome.

tatzo lilikuja baada ya kugundua ni mwanafunzi na yupo kidato cha mwisho,mwaka huu anamaliza.
Hili sio tatizo, tatizo ni wewe na mihemko yako ya ngono na tamaa zako.

isitoshe ni majiran
Kama ni majirani ilikuwaje ukashindwa kutambua mapema kuwa ni mwanafunzi?

Umechezea mtoto wa watu unamwachia nani aje kuoa?


nishaurin nifanyeje
OA, OA, OA. Huyo ni mkeo umekabidhiwa. Chagua kuoa au jela 30 yrs
 
Afu ulivyo mpumbavu unasema hukujua ni mwanafunzi,usijue vipi na uko mtaa mmoja? We unatuona sisi hatuna akili si ndio?
 
Back
Top Bottom