Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Haya... Huyu ana dharau, atakefuata atakuwa na kiburi, mwingine baada ya kiburi atakuwa na wivu wa kijinga, na bada ya huyo atakuja mwenye "PAMDOMO"... Mwisho wa siku utaachana na kila mwanamke. Kwa mtindo huu ukitaka mkamilifu kila idara EIDHA UTOKE NA WEWE MWENYEWE au TOKA NA MUNGU... Nje ya hapo utakuwa unahangaika kukikimbia Kivuri chako, ambacho kila likikuwakia jua lazima lazima utakiona.Ana kila dalili za dharau na hivyo anastahili kibuti. Piga chini huyo.
we umekaa ki ngono tu huwazi potential nyingine ya mwanamke wako that y u think in that way, kaa nae mjipange bwana hata yeye i mwanadamu kuna siku hana mood au na yeye ukimboa aje Humu JF kuomba ushauri.Waza, pambanua, amua, chukua hatua .acha kukurupuka
ulikuwa umeshakunywa viagra nini sasa kakubadilishia inakuwa tafrani
usemi huo unawaponza sana nyie wanaume....badae mnarudi na viam sorry vyenu baada ya kugundua ni her ulikotoka kuliko ulikoendambwage tuu.....mademu wapo wengi na huyo kashaanza mizengwe
Nina dem wangu ni nesi,mara zote shift zake zote ananiambia na tulikuwa tunakwenda samba. Hapa kati akaanza kunipa ratiba isoeleweka. Juzi nilipanga kukutana nae eneo letu tulilozowea na nikamsisitiza kuwa nina hamu nae akitoka saa 9 jioni ile kumwambia vile tu toka asubuhi cm yake haikuwa hewani! Mi jioni nikaenda eneo la tukio hola hakuja! Nikampigia cm akasema ndo kaingia shift ya jioni na akadai eti alipitiwa kunijulisha! Nimepanga kumpiga chini ushauri unatakiwa plz!
kosa hili ni mara ya kwanza ila ameanza ujanja ujanja,mara naitwa kwa mjomba mara kikao cha harusi! Mpaka muda mwingine anachelewa kazini!
Nina dem wangu ni nesi,mara zote shift zake zote ananiambia na tulikuwa tunakwenda samba. Hapa kati akaanza kunipa ratiba isoeleweka. Juzi nilipanga kukutana nae eneo letu tulilozowea na nikamsisitiza kuwa nina hamu nae akitoka saa 9 jioni ile kumwambia vile tu toka asubuhi cm yake haikuwa hewani! Mi jioni nikaenda eneo la tukio hola hakuja! Nikampigia cm akasema ndo kaingia shift ya jioni na akadai eti alipitiwa kunijulisha! Nimepanga kumpiga chini ushauri unatakiwa plz!
kosa hili ni mara ya kwanza ila ameanza ujanja ujanja,mara naitwa kwa mjomba mara kikao cha harusi! Mpaka muda mwingine anachelewa kazini!
Nina dem wangu ni nesi,mara zote shift zake zote ananiambia na tulikuwa tunakwenda samba. Hapa kati akaanza kunipa ratiba isoeleweka. Juzi nilipanga kukutana nae eneo letu tulilozowea na nikamsisitiza kuwa nina hamu nae akitoka saa 9 jioni ile kumwambia vile tu toka asubuhi cm yake haikuwa hewani! Mi jioni nikaenda eneo la tukio hola hakuja! Nikampigia cm akasema ndo kaingia shift ya jioni na akadai eti alipitiwa kunijulisha! Nimepanga kumpiga chini ushauri unatakiwa plz!
Haya... Huyu ana dharau, atakefuata atakuwa na kiburi, mwingine baada ya kiburi atakuwa na wivu wa kijinga, na bada ya huyo atakuja mwenye "PAMDOMO"... Mwisho wa siku ............ utapata mwende kaswend na ukim.....i, teh teh teh.
Nina dem wangu ni nesi,mara zote shift zake zote ananiambia na tulikuwa tunakwenda samba. Hapa kati akaanza kunipa ratiba isoeleweka. Juzi nilipanga kukutana nae eneo letu tulilozowea na nikamsisitiza kuwa nina hamu nae akitoka saa 9 jioni ile kumwambia vile tu toka asubuhi cm yake haikuwa hewani! Mi jioni nikaenda eneo la tukio hola hakuja! Nikampigia cm akasema ndo kaingia shift ya jioni na akadai eti alipitiwa kunijulisha! Nimepanga kumpiga chini ushauri unatakiwa plz!
Nina dem wangu ni nesi,mara zote shift zake zote ananiambia na tulikuwa tunakwenda samba. Hapa kati akaanza kunipa ratiba isoeleweka. Juzi nilipanga kukutana nae eneo letu tulilozowea na nikamsisitiza kuwa nina hamu nae akitoka saa 9 jioni ile kumwambia vile tu toka asubuhi cm yake haikuwa hewani! Mi jioni nikaenda eneo la tukio hola hakuja! Nikampigia cm akasema ndo kaingia shift ya jioni na akadai eti alipitiwa kunijulisha! Nimepanga kumpiga chini ushauri unatakiwa plz!
HUU NDIO USHAURI SAHIHI!Kama anakupenda kweli,atajirudi.Ukiona kimya ujue sio tu hakupendi bali ameshampata mwingine!na we mpigie kimya mpaka akutafute kwani we tu ndo unahamu naye? Na asipokutafuta jua hana mpango na wewe!
Ana kila dalili za dharau na hivyo anastahili kibuti. Piga chini huyo.