Nilipomwambia nina hamu na yeye tu, akabadili zamu!

Nilipomwambia nina hamu na yeye tu, akabadili zamu!

Unachekesha sana, yaani umpige chini kisa hakuja kukupa K siku hiyo?? Ulikuwa umekunywa viagra kabisa nini mzee! Kifupi kosa ni ndogo sana ukilinganisha na adhabu ya kumpiga! Siyo fair ukifanya hivyo, unless ugundue mambo mengine zaidi mabaya.
 
Mbona hiyo sio sababu ya msingi? Kama umemchoka Ina Tacitus za au sawa nimekuelewa......
 
Nina dem wangu ni nesi,mara zote shift zake zote ananiambia na tulikuwa tunakwenda samba. Hapa kati akaanza kunipa ratiba isoeleweka. Juzi nilipanga kukutana nae eneo letu tulilozowea na nikamsisitiza kuwa nina hamu nae akitoka saa 9 jioni ile kumwambia vile tu toka asubuhi cm yake haikuwa hewani! Mi jioni nikaenda eneo la tukio hola hakuja! Nikampigia cm akasema ndo kaingia shift ya jioni na akadai eti alipitiwa kunijulisha! Nimepanga kumpiga chini ushauri unatakiwa plz!

Mpotezee huyo mshamba, anamambo ya kizamani huyo!
 
Khaaaaaa. Huna msamaha wala Subira...... Mapenzi ya sasa..... Matamu, kidogo tu unapigwa chini.
 
Atakua alienda kumegwa na jamaa mwingine hana lolote uyo,shift zina ratiba yake maalum
 
panga appointment nyingine, kama atazingua jua tayari kaona kichwa kipya...so piga chiini...
 
Ralphryder

Labda nianze kwa kuuliza . Mkuu are u upset because u were not informed of the changes,kabla ya kwenda kwenye tukio au with the fact that the shift was changed at all?
If its for the later, then forgive me for saying this maana u like kama mtoto mdogo anaendekeza ukame badala ya ..................................Si utafute wadada poa!!??

mweh!!! Huo ushaur au wampotosha mwenzio?
 
mpige chini ata zoea kukurusha! kwanza hiyo ni chakula ya mtu! kusoma hujui ata picha huoni?
 
Back
Top Bottom