THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
Diaba mbona kidogo mkuu? Suuzia Pipa kabisa ili uwakomeshe!Habari zenu ndugu zangu
Lengo la kuleta malalamiko yangu ni kuonya wapangaji vilaza. kuhusu wapangaji wanao shindana kufua sijui mnavaa Nini maana daily kufua Afu bill tunalipa wote sawa
😅😅😅Habari zenu ndugu zangu
Lengo la kuleta malalamiko yangu ni kuonya wapangaji vilaza. kuhusu wapangaji wanao shindana kufua sijui mnavaa Nini maana daily kufua Afu bill tunalipa wote sawa
Mambo dear ex
🤣🤣Poa poa,Mambo vp Ex?Mambo dear ex
Ujue unatembea na roho yangu 😎🤣🤣Poa poa,Mambo vp Ex?
Pole tenaPole.
🤣🤣Wee,usiniambie?Ujue unatembea na roho yangu 😎