THE BEEKEEPER JF-Expert Member Joined Feb 23, 2024 Posts 1,462 Reaction score 7,157 Jul 21, 2024 Thread starter #61 Ms R said: umeamua uunge msafara Click to expand... Ndio
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 43,960 Reaction score 77,533 Jul 21, 2024 #62 binti kiziwi said: Acheni kuchezea maji, dunia haina maji ya kutosha kufaa kutumika na binadamu. Click to expand... Ndiyo maana inasisitizwa kupata bia ili kutunza maji.
binti kiziwi said: Acheni kuchezea maji, dunia haina maji ya kutosha kufaa kutumika na binadamu. Click to expand... Ndiyo maana inasisitizwa kupata bia ili kutunza maji.
Mwambwaro JF-Expert Member Joined Jan 26, 2018 Posts 3,309 Reaction score 3,522 Jul 21, 2024 #63 Bili yenyewe buku tatu mpaka tano unalia lia au panga ambapo mpo mabachela tupu bado utakuja kulia lia mnaibiana
Bili yenyewe buku tatu mpaka tano unalia lia au panga ambapo mpo mabachela tupu bado utakuja kulia lia mnaibiana
JAYJAY JF-Expert Member Joined Oct 31, 2008 Posts 8,191 Reaction score 8,490 Jul 21, 2024 #64 The Assassin said: We achia maji chooni yawe yanatiririka muda wote ama mnachangia hadi choo? Kama ukuta wako unajitegemea otesha maua daily unamwagilia hadi maji yanatirikika kama bwawa. Hao kuwakomoa kazi ndogo sana. Click to expand... Uharibifu wa maji huo.
The Assassin said: We achia maji chooni yawe yanatiririka muda wote ama mnachangia hadi choo? Kama ukuta wako unajitegemea otesha maua daily unamwagilia hadi maji yanatirikika kama bwawa. Hao kuwakomoa kazi ndogo sana. Click to expand... Uharibifu wa maji huo.
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Jul 21, 2024 #65 THE BEEKEEPER said: Kweli watu Wanamatatizo sana Click to expand... π pole mkuu Ova
binti kiziwi JF-Expert Member Joined Aug 4, 2014 Posts 11,201 Reaction score 28,642 Jul 21, 2024 #66 Moisemusajiografii said: Ndiyo maana inasisitizwa kupata bia ili kutunza maji. Click to expand... π π π
Moisemusajiografii said: Ndiyo maana inasisitizwa kupata bia ili kutunza maji. Click to expand... π π π