Niliposikia Magufuli kafa, nilihisi na mimi nimekufa - RC Chalamila

Niliposikia Magufuli kafa, nilihisi na mimi nimekufa - RC Chalamila

Ndio wa pambe wa Mama muone kiongozi anatakiwa aweze kuwin hearts and minds za wasaidizi kwa kiwango na jinsi gani? Muache kumhujumu Mh Rais kwa machapisho ya kuwananga na kuwakatisha tamaa wasaidizi wake na Mama naye kwa kujua ama kutokujua kajikuta yuko kwenye band wagon yenu.

Huyu Chalamila hana cha kupoteza keshaona liwalo na liwe vijimaneno vya huyu hafai havimnyimi usingizi.
 
Yametimia!


Sent from my S20 Ultra using JamiiForums mobile app
 
Sasa viloba vinakwenda kumuua baada ya kutumbuliwa Jana usiku
 
Back
Top Bottom