Ila chalamia anaiaibisha sana ccmYaani nimecheka balaaaa..... kweli kifo kifo tuu hakina mjuzi
View attachment 1745709
Wangari Maathai njoo msikie kaka yako hapa
Sio mwalimu, ni mhadhiri ( Lecturer) wa Historia to be specificNi mwalimu wa Historia!
Huyu mpuuzi hana cha maana cha kuongea, hao wapuuzi zaidi nao wanafurahia ujinga wake tu
Kumbe ni mwalimu? Atasaidia sana kufundisha somo la HISTORIA YA MAGUFULI litakapoanza April,12.Ni mwalimu wa Historia!
Huyu anajipendekeza kwa mamaYaani nimecheka balaa, kweli kifo kifo tuu hakina mjuzi
View attachment 1745709
Wangari Maathai njoo msikie kaka yako hapa
Ukiona kichwa model ile ujue hamna kitu,kama yule aliyemuombea meko apate Corona yani vibuyu tupu.Chalamila kwa unafiki! Sasa kwa nini hakufa?
Mongolian idiot.Chalamila ni rare species anatakiwa kulindwa
Huyo ni mwana kitengo wew jinga..unahis kuna watu wanatumbuliwa tumbuliwa tuItashangaza sana atateuliwa tena kuendelea na wadhifa huo. Sijui ana taaluma gani huyu!
Sorry mkuu; didn't know that he is your step father.Huyo ni mwana kitengo wew jinga..unahis kuna watu wanatumbuliwa tumbuliwa tu