Nilipotabiri Ujio wa Kocha Olivieira Simba SC na ikatokea na Kushauri yafuatayo nilikuwa namaanisha

Nilipotabiri Ujio wa Kocha Olivieira Simba SC na ikatokea na Kushauri yafuatayo nilikuwa namaanisha

Mpira ni mchezo wa wazi.

Robert kipindi Cha kwanza mfumo wake ulifanya zipigwe popo tu.

Ndio maana Kibu akaonekana anafaa sana kwenye mfumo huo kuliko Chama.

Kipindi Cha pili Simba ili ingia na approach yake ya siku zote wanapokuwa kwa Mkapa pasi fupi fupi halafu nyingi.

Hapo ndipo watazamaji wakaanza kuuliza kwanini Chama atolewe awekwe Kibu.

Asingebadili mfumo hata hizo goli tatu asingeweza kuzilinda?
Kibu jana kacheza mpira mbovu sana
 
Upeo wa washabiki Tz ni mdogo sana..
Mbaya zaidi wachambuzi soka redioni wanaangalia upepo wa washabiki...

Kocha mechi ya kwanza , sub yaa CHAMA ...??
Iniesta ameichukua Barcelona zaidi ya mwaka , walau sasa inaanza kurudi..
Arsenal imebidi isubiri miaka 2 ..sasa kila mtu ..

Wapi ktk dunia utakuta mashabiki kama tz..
Hapa ni kumsaidia kocha mawazo..
Mambo ya sijui MGUNDA, MATOLA huku ni kukosa hoja za kiufundi...
 
Upeo wa washabiki Tz ni mdogo sana..
Mbaya zaidi wachambuzi soka redioni wanaangalia upepo wa washabiki...

Kocha mechi ya kwanza , sub yaa CHAMA ...??
Iniesta ameichukua Barcelona zaidi ya mwaka , walau sasa inaanza kurudi..
Arsenal imebidi isubiri miaka 2 ..sasa kila mtu ..

Wapi ktk dunia utakuta mashabiki kama tz..
Hapa ni kumsaidia kocha mawazo..
Mambo ya sijui MGUNDA, MATOLA huku ni kukosa hoja za kiufundi...
Mashabiki wa Simba wamenishangaza sana. Haya mambo nilitegemea kuyaona kule upande wa pili siyo kwa timu smart kama Simba.

Kocha ambaye ana chini ya wiki mbili akiwa na timu, anawavusha kwa ushindi katika mechi ngumu dhidi ya timu ambayo imekuwa inaisumbua mara kwa mara, watu wamekomalia Chama Chama!

Siyo kila game itakuwa ya kuvutia. Wakati mwingine ikibidi inabidi ucheze ugly game muhimu ushindi. Mpira wa kufurahisha hauna maana kama haupati ushindi.
 
Mashabiki wa Simba wamenishangaza sana. Haya mambo nilitegemea kuyaona kule upande wa pili siyo kwa timu smart kama Simba.

Kocha ambaye ana chini ya wiki mbili akiwa na timu, anawavusha kwa ushindi katika mechi ngumu dhidi ya timu ambayo imekuwa inaisumbua mara kwa mara, watu wamekomalia Chama Chama!

Siyo kila game itakuwa ya kuvutia. Wakati mwingine ikibidi inabidi ucheze ugly game muhimu ushindi. Mpira wa kufurahisha hauna maana kama haupati ushindi.
Jana kazingua Kocha kweli mbeya city huwa wanatusumbua ila sio wakiwa vile pungufu
Hata Prisons huwa wanatusumbua ila walivyojichanganya wakapata nyekundu uliona jinsi mvua ilivyowashukia
 
Jana kazingua Kocha kweli mbeya city huwa wanatusumbua ila sio wakiwa vile pungufu
Hata Prisons huwa wanatusumbua ila walivyojichanganya wakapata nyekundu uliona jinsi mvua ilivyowashukia
Kwani ile kadi nyekundu ilikuja dakika ya ngapi? Na pia reaction ya watazamaji na yenyewe iliwaathiri wachezaji wakapoteza kujiamini. Mtu unaongoza 3-1 halafu washabiki mmejikunyata kama mmemwagiwa maji ya baridi, kisa CHAMA? Mimi nakwambia kwa mpira ule ule wa jana, toa Kyombo au Kibu niwekee Okrah au Phiri, kungekuwa na goli 2 au 3 zaidi. Mnataka nini zaidi?
 
Nilisisitiza mno kama siyo sana kuwa Kocha Mpya Simba SC Roberto Olivieira akitua Simba SC aje na Watu wake anaowaamini na kamwe asiendelee na Hawa akina Mgunda, Matola na Meneja Rweymamu aliowakuta GENTAMYCINE nilimaanisha na kuna Hatari niliiona na leo imejidhihiri.

Nawaombeni rejeeni marejeo ya Picha za Azam Tv wakati Mbeya City wamesawazisha Goli la Kwanza na lile la Pili kisha kwa Umakini kabisa tizameni Body Language ya Kocha Msaidizi Mgunda na Meneja Rweymamu kisha mtanielewa vyema.

Kocha Msaidizi Juma Mgunda alikuwa anajifanya Kuumia Magoli kurejea ( Kusawazishwa ) huku anajificha Mdomo na anatizamana na Meneja Rweymamu na baadhi ya Watu wa Benchi la Ufundi na Kumcheka Kimoyomoyo Kocha Mkuu Roberto Olivieira kitu ambacho Kwangu ni very Unprofessional na kimenilazimisha nianze Kumdharau Kocha Msaidizi Mgunda.

Na ili Kuzuga / Kutuzuga kila Simba SC ilipokuwa ikipata Magoli yake Kocha Msaidizi Mgunda Kinafiki kabisa alikuwa anajifanya anaamka na Kushangilia kwa Nguvu ( Kihisia ) huku akikongeana Mikono na Kocha Mkuu Olivieira.

Uongozi wa Simba SC mmefanya Kosa Kubwa sana Kumleta Fundi na Mtaalam Roberto Olivieira kama Kocha Mkuu na kumuachia hawa Waswahili na Wapika Majungu Wenzetu akina Kocha Msaidizi Mgunda na Meneja Rweymamu.

Ile Shangilia yake ya Kihisia Kali Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Olivieira baada ya Mchezaji Pape Ousmane Sakho Kufunga Goli zuri la Tatu ilikuwa na maana Kubwa na kuna Jibu alikuwa akilitoa Kwetu Mashabki na hasa kwa Benchi lake la Ufundi alilonalo ambalo huenda akawa ameshalisoma na kuhisi kuwa amezungwa na Wanafiki wanaovalia Ngozi ya Kondoo huku wakijifanya Wanamchekea na Kumpenda wakati kumbe Wanafurahia Kufeli Kwake Kimbinu (kutokana na Ugeni wake) na Wanamchukia kutokana na Uzungu wake wakiamini kuwa kaja Kuwaharibia na hawatofaidika tena na Simba SC.
Mpika majungu.
Majungu,roho mbaya,husda ni maisha ya hovyo sana.
Watu wanaona na kuelewa mambo

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Nilisisitiza mno kama siyo sana kuwa Kocha Mpya Simba SC Roberto Olivieira akitua Simba SC aje na Watu wake anaowaamini na kamwe asiendelee na Hawa akina Mgunda, Matola na Meneja Rweymamu aliowakuta GENTAMYCINE nilimaanisha na kuna Hatari niliiona na leo imejidhihiri.

Nawaombeni rejeeni marejeo ya Picha za Azam Tv wakati Mbeya City wamesawazisha Goli la Kwanza na lile la Pili kisha kwa Umakini kabisa tizameni Body Language ya Kocha Msaidizi Mgunda na Meneja Rweymamu kisha mtanielewa vyema.

Kocha Msaidizi Juma Mgunda alikuwa anajifanya Kuumia Magoli kurejea ( Kusawazishwa ) huku anajificha Mdomo na anatizamana na Meneja Rweymamu na baadhi ya Watu wa Benchi la Ufundi na Kumcheka Kimoyomoyo Kocha Mkuu Roberto Olivieira kitu ambacho Kwangu ni very Unprofessional na kimenilazimisha nianze Kumdharau Kocha Msaidizi Mgunda.

Na ili Kuzuga / Kutuzuga kila Simba SC ilipokuwa ikipata Magoli yake Kocha Msaidizi Mgunda Kinafiki kabisa alikuwa anajifanya anaamka na Kushangilia kwa Nguvu ( Kihisia ) huku akikongeana Mikono na Kocha Mkuu Olivieira.

Uongozi wa Simba SC mmefanya Kosa Kubwa sana Kumleta Fundi na Mtaalam Roberto Olivieira kama Kocha Mkuu na kumuachia hawa Waswahili na Wapika Majungu Wenzetu akina Kocha Msaidizi Mgunda na Meneja Rweymamu.

Ile Shangilia yake ya Kihisia Kali Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Olivieira baada ya Mchezaji Pape Ousmane Sakho Kufunga Goli zuri la Tatu ilikuwa na maana Kubwa na kuna Jibu alikuwa akilitoa Kwetu Mashabki na hasa kwa Benchi lake la Ufundi alilonalo ambalo huenda akawa ameshalisoma na kuhisi kuwa amezungwa na Wanafiki wanaovalia Ngozi ya Kondoo huku wakijifanya Wanamchekea na Kumpenda wakati kumbe Wanafurahia Kufeli Kwake Kimbinu (kutokana na Ugeni wake) na Wanamchukia kutokana na Uzungu wake wakiamini kuwa kaja Kuwaharibia na hawatofaidika tena na Simba SC.
Genta...JF charismatic figure, knowledgeable ,talented and great thinker.

Kudos to you!!! Simba wamefanyia kazi mapendekezo yako
 
Mgunda anasogezwa pembeni kijanja, ajiongeze..

Wanamuita chaguo la Robertinho.
Fm2KZnUXoAAURAG.jpeg.jpg
 
Genta...JF charismatic figure, knowledgeable ,talented and great thinker.

Kudos to you!!! Simba wamefanyia kazi mapendekezo yako
Asante kwa Credits zako Mkuu na nawashukuru Uongozi wa Simba SC kufuata Ushauri wangu na hata Wewe kuliona hilo.
 
Nilisisitiza mno kama siyo sana kuwa Kocha Mpya Simba SC Roberto Olivieira akitua Simba SC aje na Watu wake anaowaamini na kamwe asiendelee na Hawa akina Mgunda, Matola na Meneja Rweymamu aliowakuta GENTAMYCINE nilimaanisha na kuna Hatari niliiona na leo imejidhihiri.

Nawaombeni rejeeni marejeo ya Picha za Azam Tv wakati Mbeya City wamesawazisha Goli la Kwanza na lile la Pili kisha kwa Umakini kabisa tizameni Body Language ya Kocha Msaidizi Mgunda na Meneja Rweymamu kisha mtanielewa vyema.

Kocha Msaidizi Juma Mgunda alikuwa anajifanya Kuumia Magoli kurejea ( Kusawazishwa ) huku anajificha Mdomo na anatizamana na Meneja Rweymamu na baadhi ya Watu wa Benchi la Ufundi na Kumcheka Kimoyomoyo Kocha Mkuu Roberto Olivieira kitu ambacho Kwangu ni very Unprofessional na kimenilazimisha nianze Kumdharau Kocha Msaidizi Mgunda.

Na ili Kuzuga / Kutuzuga kila Simba SC ilipokuwa ikipata Magoli yake Kocha Msaidizi Mgunda Kinafiki kabisa alikuwa anajifanya anaamka na Kushangilia kwa Nguvu ( Kihisia ) huku akikongeana Mikono na Kocha Mkuu Olivieira.

Uongozi wa Simba SC mmefanya Kosa Kubwa sana Kumleta Fundi na Mtaalam Roberto Olivieira kama Kocha Mkuu na kumuachia hawa Waswahili na Wapika Majungu Wenzetu akina Kocha Msaidizi Mgunda na Meneja Rweymamu.

Ile Shangilia yake ya Kihisia Kali Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Olivieira baada ya Mchezaji Pape Ousmane Sakho Kufunga Goli zuri la Tatu ilikuwa na maana Kubwa na kuna Jibu alikuwa akilitoa Kwetu Mashabki na hasa kwa Benchi lake la Ufundi alilonalo ambalo huenda akawa ameshalisoma na kuhisi kuwa amezungwa na Wanafiki wanaovalia Ngozi ya Kondoo huku wakijifanya Wanamchekea na Kumpenda wakati kumbe Wanafurahia Kufeli Kwake Kimbinu (kutokana na Ugeni wake) na Wanamchukia kutokana na Uzungu wake wakiamini kuwa kaja Kuwaharibia na hawatofaidika tena na Simba SC.
Who cares?
 
Back
Top Bottom