Nilipotea nyumbani kwa mngoni.

Nilipotea nyumbani kwa mngoni.

nigegiwi, nitama na mngwana wangu kudarisalama. ila mnikumbwishi kweli pabomani. ninogela ngati nijumbayi hinu naha

Watani zangu ongeeni tu kingoni chenu ili nisielewe mnafikiri mimi sipendi,na ngoja sasa niwatafutie dawa yenu mtanitafuta wenyewe!!
 
Watani msiniue ila kuna jamaa kule jukwaa la mahusiano kwenye mada ya wachumba wa makabila kaandika ,namnukuu(Hela inafika mwanamke hafiki....Ma-kapongo kweli hao)mwisho wa kunukuu.Sasa swali langu ni kweli alichosema huyu ndugu watani zangu.
 
Watani msiniue ila kuna jamaa kule jukwaa la mahusiano kwenye mada ya wachumba wa makabila kaandika ,namnukuu(Hela inafika mwanamke hafiki....Ma-kapongo kweli hao)mwisho wa kunukuu.Sasa swali langu ni kweli alichosema huyu ndugu watani zangu.

sijui, wababa labda watusaidie kwa hili
 
Back
Top Bottom