Nilipoteza begi kwenye gari Ijumaa

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Siku ya Ijumaa nilikuwa nasafiri kutoka Tanga kuja Dar. Naombeni aliyeshuka na begi langu anisaidie maana mimi nimetunza la kwake.

Atakae pata taarifa zozote, ni-PM please.
 
Unaleta tangazo la kienyeji kama begi lako.

Ulitoka Tanga na Meli, Gari, Guta, Baiskeli, Mfuko wa Rambo, Pikipiki, au ulibebwa mgongoni na shangazi yako.?

Weka maelezo ya kutosha.
 
Darasa la 7 mna tatizo gani lakini, hata kujieleza tatizo.
 
Hiyo situation ilinikuta 2017 natoka mwanza gri nililopanda lilikua laishia moro so nikawa nafanyiwa mpango wa kufaulishwa.. nashuka naenda chukua begi nakuta begi hamna ila pembeni lipo lingine kama langu. Mbona nililia asee..Kwenye begi ndio kulikua na docs zote zinazonipeleka Dar. Nilibaki na simu yangu na Pc kwenye backpack.
Nilikaa pale ofisini sijui nifanyaje hadi gari likaniacha. Fortunately alikuja jamaa na boda akanipa begi langu na hela ya usafiri na chakula.. begi la yule jamaa likikua limeja taiti za kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…