but la jeshi
Member
- Sep 9, 2024
- 9
- 31
Kuna kampuni nilikopa baada ya kukopa nilikuwa mteja wao mzuri sana ,nakulipa kwa wakati, sasa baada ya kugundua ili iyo kampuni ikaniongezea kiwango tena jamaa akaniambia utalipa baada ya siku 21 omba kwanza tutaictvet system ukishaomba nitumie na skin shoot .kwenye whaatsap kusudi tukuongzee muda ,sasa baada ya kufanikiwa kunipa hela jamaa akawa apokei tena simu system bado unasoma siku 7 , kila nikituma meseji ajibu.uzuri ni kwamba nilirecodi maongezi yote.lakin ajanisadia matusi niliyopat