Nilisema BOT hawana uwezo wa kupambana na ma sharks wa mikopo ya mitandaoni. Riba bado ziko juu, usumbufu upo vilevile

Nilisema BOT hawana uwezo wa kupambana na ma sharks wa mikopo ya mitandaoni. Riba bado ziko juu, usumbufu upo vilevile

Kuna kampuni nilikopa baada ya kukopa nilikuwa mteja wao mzuri sana ,nakulipa kwa wakati, sasa baada ya kugundua ili iyo kampuni ikaniongezea kiwango tena jamaa akaniambia utalipa baada ya siku 21 omba kwanza tutaictvet system ukishaomba nitumie na skin shoot .kwenye whaatsap kusudi tukuongzee muda ,sasa baada ya kufanikiwa kunipa hela jamaa akawa apokei tena simu system bado unasoma siku 7 , kila nikituma meseji ajibu.uzuri ni kwamba nilirecodi maongezi yote.lakin ajanisadia matusi niliyopat
 
Kuna kampuni nilikopa baada ya kukopa nilikuwa mteja wao mzuri sana ,nakulipa kwa wakati, sasa baada ya kugundua ili iyo kampuni ikaniongezea kiwango tena jamaa akaniambia utalipa baada ya siku 21 omba kwanza tutaictvet system ukishaomba nitumie na skin shoot .kwenye whaatsap kusudi tukuongzee muda ,sasa baada ya kufanikiwa kunipa hela jamaa akawa apokei tena simu system bado unasoma siku 7 , kila nikituma meseji ajibu.uzuri ni kwamba nilirecodi maongezi yote.lakin ajanisadia matusi niliyopat
This is pure utapeli, na wamesajili namba nyingi sana za simu ili kutukana watu sijui TCRA wanalichukuliaje hili. Kama si matapeli namba nyingi za nini? Hizi biashara zinaendeshwa kitapeli mno halafu bado mtu unalazimika kulipa sababu usipolipa unasomeka kama defaulter kwenye credit reference bureau kwa hiyo unakua huwezi tena kopesheka na banks. Na hapa ndio BOT naona wanawapa rungu matapeli kiasi cha wananchi kuamini BOT wanashiriki kwenye hii hujuma. Kivipi huduma ya kitapeli tena ambayo haijasajiliwa nchini iweze kuwa na access kwenye credit reference bureau? BOT kujeni mtoe ufafanuzi
 
Dawa ni moja tu kukataa kulipa hata iweje watajiondokea tu wenyewe. Only strong person can do this.
Tatizo hawa jamaa usipolipa taarifa zako zinafika kwenye credit reference bureau kama defaulter na unakua huwezi kopeshwa tena hata na bank. Hiki ndio kitu cha kushangaza kabisa hii bureau kufanya kazi na matapeli tena kwa baraka za BOT
 
watu wa mikopo wa mitandaoni akili hawana.
Mtu anapopitiliza siku kabla ya kumuandikia meseji za kipumbav. Inatakiwa uende kistaarabu,muulize tatizo nini,na lini atalipa.ila unapoanza kwa vitisho. Wengine machizi kama wewe.anakubadilishia namba tu.hivi kwa maneno kama haya mtu anaweza kukulipa kweli?.sawa tuna kopa kwa shida zetu ndio.ila tukipitiliza siku haimaanishi hatutaki kulipa.jengeni mahusiano mazuri na wateja.alafu mnaweka faini kila siku 1000.ukipitiliza .hii hela mtakwenda kulipwa mahakamani.
Hao mbwa hatari sana.
 
Back
Top Bottom