Kwa hiyo kujenga makanisa ni dhambi.? Sijaona sababu ya muhimu zaid umetanguliza udini tu hapa.Tunataka Zanzibar yetu tuimiliki kwa imaan yetu maana munazidi kujenga makanisa tu mutuachie unguja yetu tumechoka.
I seeKanaitwa "chama cha magufuli (ccm)
Kwa hiyo kujenga makanisa ni dhambi.? Sijaona sababu ya muhimu zaid umetanguliza udini tu hapa.
Alishasema mazuri na ya ajabu na ya tofauti na watanguluzi wake aliyofanya magufuli ni kujenga eapoti ya kimataifa kijiji kwao na Kujitengeneze mbuga kule..... Hayo ndo mazuri ya magufuliHakuna my mbaya asilimia 100 wala hakuna mzuri asilimia 100 . Mbona anaponda tu ya JPM? Ina maana hana mazuri aliyofanya?
Huyo sio mdini bali ni mfia dini tu, kama yeye ni Muisilamu basi ni bubusa wa Uisilamu kwasababu hajui hata Qur'an (Allah) anatambua makanisa kama nyumba za ibada, sasa inakuaje akatae kujengwa kwa makanisa ??!![emoji1787]
Lini jpm alisema mazuri ya lisu, tuanzie hapoHakuna my mbaya asilimia 100 wala hakuna mzuri asilimia 100 . Mbona anaponda tu ya JPM? Ina maana hana mazuri aliyofanya?