Nilishawahi kuishauri Serikali juu ya energy security ila haikunielewa

Nilishawahi kuishauri Serikali juu ya energy security ila haikunielewa

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Mwaka 2020 nilishauri serikali juu ya energy security ila haikunielewa.

Energy security ni muhimu sana kwa taifa lolote duniani maana huwezi jua ni wakati gani hali ya usalama wa dunia inaweza kuchafuka.

Na ikichafuka tusidhani kwamba viongozi ndio tutapona, hapana wote tutaathirika.

Kuna wakati fulani mafuta hayatakuwepo hata tone. Uchumi utasimama kabisa. Speed itakua 0 m/s.

Ndio maana nchi zinawekeza kutafuta mafuta yao wenyewe ili ziweze kuwa na energy security.

Ndio maana nchi zinazojielewa duniani zinahifadhi mafuta ya kutumia kipindi cha shida. Zimejenga storage kubwa zenye uwezo wa kuhifadhi mafuta ya kutumia miaka na miaka.

Sisi Tanzania tunaichezea sekta ya nishati, timeifanya kama biashara ya kuingizia pesa, wakati kila mtu anajua mafuta ni hela. Lakini tusijisihau mafuta ndio force inayoendesha nchi. Kunasiku itabaki zero, nchi yote itasimama. Na kweli itasimama.

Ukiharibu kwenye mafuta unaharibu uchumi wote.

Bei za kila kitu zinaongezeka hadi bei ya chips inaongezeka.

Hatutaki kujenga viwanda, tunataka kwenda na uchumi feki. Uchumi wa kutegemea bidhaa za wengine wakati wao hawatutegemei.
Mungu hakutuumba tuwe tegemezi wa vitu vya watu. Na sisi tutengeneze vya kwetu tujiuzie wenyewe.

Masikini kodi tunazitaka zikakamilishe miradi. Na kodi zenyewe za uhakika zimo ndani ya mafuta. Cha kufanya hamna. Tungekua na hifadhi si tungetoa lita kadhaa za ruzuku.
 
Mwaka 2020 nilishauri serikali juu ya energy security ila haikunielewa.

Energy security ni muhimu sana kwa taifa lolote duniani maana huwezi jua ni wakati gani hali ya usalama wa dunia inaweza kuchafuka.

Na ikichafuka tusidhani kwamba viongozi ndio tutapona, hapana wote tutaathirika.

Kuna wakati fulani mafuta hayatakuwepo hata tone. Uchumi utasimama kabisa. Speed itakua 0 m/s.

Ndio maana nchi zinawekeza kutafuta mafuta yao wenyewe ili ziweze kuwa na energy security.

Ndio maana nchi zinazojielewa duniani zinahifadhi mafuta ya kutumia kipindi cha shida. Zimejenga storage kubwa zenye uwezo wa kuhifadhi mafuta ya kutumia miaka na miaka.

Sisi Tanzania tunaichezea sekta ya nishati, timeifanya kama biashara ya kuingizia pesa, wakati kila mtu anajua mafuta ni hela. Lakini tusijisihau mafuta ndio force inayoendesha nchi. Kunasiku itabaki zero, nchi yote itasimama. Na kweli itasimama.

Ukiharibu kwenye mafuta unaharibu uchumi wote.

Bei za kila kitu zinaongezeka hadi bei ya chips inaongezeka.

Hatutaki kujenga viwanda, tunataka kwenda na uchumi feki. Uchumi wa kutegemea bidhaa za wengine wakati wao hawatutegemei.
Mungu hakutuumba tuwe tegemezi wa vitu vya watu. Na sisi tutengeneze vya kwetu tujiuzie wenyewe.

Masikini kodi tunazitaka zikakamilishe miradi. Na kodi zenyewe za uhakika zimo ndani ya mafuta. Cha kufanya hamna. Tungekua na hifadhi si tungetoa lita kadhaa za ruzuku.
Ungewashauri jinsi ya kuizibiti CHADEMA bila shaka ungepata teuzi....
Nchi ngumu Sana!
 
Mwaka 2020 nilishauri serikali juu ya energy security ila haikunielewa.

Energy security ni muhimu sana kwa taifa lolote duniani maana huwezi jua ni wakati gani hali ya usalama wa dunia inaweza kuchafuka.

Na ikichafuka tusidhani kwamba viongozi ndio tutapona, hapana wote tutaathirika.

Kuna wakati fulani mafuta hayatakuwepo hata tone. Uchumi utasimama kabisa. Speed itakua 0 m/s.

Ndio maana nchi zinawekeza kutafuta mafuta yao wenyewe ili ziweze kuwa na energy security.

Ndio maana nchi zinazojielewa duniani zinahifadhi mafuta ya kutumia kipindi cha shida. Zimejenga storage kubwa zenye uwezo wa kuhifadhi mafuta ya kutumia miaka na miaka.

Sisi Tanzania tunaichezea sekta ya nishati, timeifanya kama biashara ya kuingizia pesa, wakati kila mtu anajua mafuta ni hela. Lakini tusijisihau mafuta ndio force inayoendesha nchi. Kunasiku itabaki zero, nchi yote itasimama. Na kweli itasimama.

Ukiharibu kwenye mafuta unaharibu uchumi wote.

Bei za kila kitu zinaongezeka hadi bei ya chips inaongezeka.

Hatutaki kujenga viwanda, tunataka kwenda na uchumi feki. Uchumi wa kutegemea bidhaa za wengine wakati wao hawatutegemei.
Mungu hakutuumba tuwe tegemezi wa vitu vya watu. Na sisi tutengeneze vya kwetu tujiuzie wenyewe.

Masikini kodi tunazitaka zikakamilishe miradi. Na kodi zenyewe za uhakika zimo ndani ya mafuta. Cha kufanya hamna. Tungekua na hifadhi si tungetoa lita kadhaa za ruzuku.
Mkuu mada kama hizi ungetuletea tu baada ya wiki mbili baada ya faraja. Qumermakay Sabaya limeachiwa.

Fak
 
viongozi wetu wana uwezo mdogo mno kuweza kuwaza mambo makubwa kama hayo ,CCM imejaa viongozi wanafki wakujipendekeza na kunufaisha matumbo yao tu .hawawezi kuwaza juu ya future ya nchi ,refer mkataba wa ujenzi wa bandari ya bagamoyo .
 
Mwaka 2020 nilishauri serikali juu ya energy security ila haikunielewa.

Energy security ni muhimu sana kwa taifa lolote duniani maana huwezi jua ni wakati gani hali ya usalama wa dunia inaweza kuchafuka.

Na ikichafuka tusidhani kwamba viongozi ndio tutapona, hapana wote tutaathirika.

Kuna wakati fulani mafuta hayatakuwepo hata tone. Uchumi utasimama kabisa. Speed itakua 0 m/s.

Ndio maana nchi zinawekeza kutafuta mafuta yao wenyewe ili ziweze kuwa na energy security.

Ndio maana nchi zinazojielewa duniani zinahifadhi mafuta ya kutumia kipindi cha shida. Zimejenga storage kubwa zenye uwezo wa kuhifadhi mafuta ya kutumia miaka na miaka.

Sisi Tanzania tunaichezea sekta ya nishati, timeifanya kama biashara ya kuingizia pesa, wakati kila mtu anajua mafuta ni hela. Lakini tusijisihau mafuta ndio force inayoendesha nchi. Kunasiku itabaki zero, nchi yote itasimama. Na kweli itasimama.

Ukiharibu kwenye mafuta unaharibu uchumi wote.

Bei za kila kitu zinaongezeka hadi bei ya chips inaongezeka.

Hatutaki kujenga viwanda, tunataka kwenda na uchumi feki. Uchumi wa kutegemea bidhaa za wengine wakati wao hawatutegemei.
Mungu hakutuumba tuwe tegemezi wa vitu vya watu. Na sisi tutengeneze vya kwetu tujiuzie wenyewe.

Masikini kodi tunazitaka zikakamilishe miradi. Na kodi zenyewe za uhakika zimo ndani ya mafuta. Cha kufanya hamna. Tungekua na hifadhi si tungetoa lita kadhaa za ruzuku.
Mwenyewe nashangaa kwanini hatuna reserve?
Hivi wale Alumni wa Monduli wana reserve?(kuwaza ni huru).
Wale wa CCP je?
Na jamaa zetu wa St. Petersburg?
 
viongozi wetu wana uwezo mdogo mno kuweza kuwaza mambo makubwa kama hayo ,CCM imejaa viongozi wanafki wakujipendekeza na kunufaisha matumbo yao tu .hawawezi kuwaza juu ya future ya nchi ,refer mkataba wa ujenzi wa bandari ya bagamoyo .
Mwalimu Nyerere alisema tatizo ni ujinga
 
Mkuu mada kama hizi ungetuletea tu baada ya wiki mbili baada ya faraja. Qumermakay Sabaya limeachiwa.

Fak
Hatuwezi kuacha kuzungumzia issue ya mafuta. Kuachiwa kwa Sabaya ni plan ya kuwazima wajinga wasahau issue ya mafuta.
 
sabaya katoka atakuja kukusikiliza kuhusu jinsinya kulinda energy security wanaokwamisha ccm isifike miaka 100
 
Mwaka 2020 nilishauri serikali juu ya energy security ila haikunielewa.

Energy security ni muhimu sana kwa taifa lolote duniani maana huwezi jua ni wakati gani hali ya usalama wa dunia inaweza kuchafuka.

Na ikichafuka tusidhani kwamba viongozi ndio tutapona, hapana wote tutaathirika.

Kuna wakati fulani mafuta hayatakuwepo hata tone. Uchumi utasimama kabisa. Speed itakua 0 m/s.

Ndio maana nchi zinawekeza kutafuta mafuta yao wenyewe ili ziweze kuwa na energy security.

Ndio maana nchi zinazojielewa duniani zinahifadhi mafuta ya kutumia kipindi cha shida. Zimejenga storage kubwa zenye uwezo wa kuhifadhi mafuta ya kutumia miaka na miaka.

Sisi Tanzania tunaichezea sekta ya nishati, timeifanya kama biashara ya kuingizia pesa, wakati kila mtu anajua mafuta ni hela. Lakini tusijisihau mafuta ndio force inayoendesha nchi. Kunasiku itabaki zero, nchi yote itasimama. Na kweli itasimama.

Ukiharibu kwenye mafuta unaharibu uchumi wote.

Bei za kila kitu zinaongezeka hadi bei ya chips inaongezeka.

Hatutaki kujenga viwanda, tunataka kwenda na uchumi feki. Uchumi wa kutegemea bidhaa za wengine wakati wao hawatutegemei.
Mungu hakutuumba tuwe tegemezi wa vitu vya watu. Na sisi tutengeneze vya kwetu tujiuzie wenyewe.

Masikini kodi tunazitaka zikakamilishe miradi. Na kodi zenyewe za uhakika zimo ndani ya mafuta. Cha kufanya hamna. Tungekua na hifadhi si tungetoa lita kadhaa za ruzuku.
Zile mbwembwe za gas ziliishiaga wapi?

Kama tuna gas basi tuuuze gas tununue mafuta
 
Back
Top Bottom