Nilishindwa kumsaidia Mariamu

yah, upo sahihi kabisa mkuu
 
inasikitisha sana, ila ndo maisha tutafanya nini zaidi ya kumuombea huko alipo.
 
Inasikitisha sana pole brother na apumzike kwa amani mdogo wetu. Watoto/wadogo zetu wengi wanapitia katika hali kama hii tumuombe Mungu sana atupe mioyo ya kujali shida na mapito ya wenzetu na tuwasaidie kwa kadri Mungu atakavyotuwezesha kwani tkifanya hivyo hata Malaika Mbinguni watafurahi na kushangilia
 
well said blood
 
Story ya kutunga. Zunguka Tanzania nzima hakunaga vidonge vya Chroloquine madukani.
 
Inasikitisha sana ila maisha yanachangamoto nyingi sana kiukweli
 
yaani marehemu aliogoma kuhamia kwa rafiki yake kwasababu alihofia baba yake atamuua then baada ya mateso kuzidi akaona bora ajiue .....kiukweli sijamuelewa kabisa marehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…