Nilishiriki mapokezi ya ndege boeing 737 - MAX 9

Hili nakubaliana nawe kabisa.
Ndani ya CCM ili ufaidi,unatakiwa kuwa na akili "below average" na kuwa na kauzuri kiasi kwa wadada.
Nothing more.
Kwa utaratibu wa Chama chetu na kwa jinsi anavyovutia, nakuhakikishia kuwa huyu binti muda si mrefu anaanza kula mema ya nchi hii. Hatuhitaji watu wenye akili kubwa kabisa
[/QUOTE
 
Muonee huruma mkuu huo uwezo anautoa wapi
 
Piga hesabu ya kufufua shirika jipya, hesabu za ndege mpya na gharama zake za uendeshaji utapata idea kwa ndege mpya unaaza lini kuzalisha faida.

Siyo biashara ya kuuza genge hiyo, utegemee faida leo na kesho.
 
Nikushauri kitu Janeth, usitusimulie tunayoyafahamu. Badala yake jikite kwenye sera, ilani na mwelekeo wa chama (ccm).

Nasikitika sana kuona UVCCM tumekuwa hivi. Hatupo kwenye dhima ya uvccm hatukilindi chama tena bali tunalinda viongozi au makada. Hilo sio lengo la uvccm.

Kulinda maslahi ya viongozi au makada maarufu ni dalili za kuwa corrupt, na sio uzalendo hata kwa taifa. Kwa sasa wanajiita chawa, usiwe miongoni mwao.

Cc: Janeth Thomson Mwambije
 
Piga hesabu ya kufufua shirika jipya, hesabu za ndege mpya na gharama zake za uendeshaji utapata idea kwa ndege mpya unaaza lini kuzalisha faida.

Siyo biashara ya kuuza genge hiyo, utegemee faida leo na kesho.
Kulikuwa na ulazima wowote ule wa serikali kulifufua hilo shirika huku ikiwa na rekodi mbovu ya kuyqsimamia na kuyaendesha mashirika yake mengine?

Ni kwa nini wasingeingia ubia na sekta binafsi kwenye huo ufufuaji?


Una uhakika hata baada ya miaka 20 tangu hizo ndege ziliponunuliwa kwa mabilioni ya fedha za walipa kodi, zitazalisha faida, au zitaendelea tu kutengeneza hasara?
 
Hiyo inayoitwa hasara si hasara kama hasara bali ni fursa.
 
Mpaka 2027 ndege zote zitakuwa zimebaki mbovu
 
Hiyo inayoitwa hasara si hasara kama hasara bali ni fursa.
Sio kwa ubaya
Je hizi harasa ni kwamba chama tawala hakina la kusema au? Maana kama ingekuwa CHADEMA ndo yupo madarakani kwa hakika CCM wangesema tu? Na Sio kwa ubaya mwananchi kuuliza sio jambo baya
 

Shirika hilo kwa Tanzania hii usifikiri kuna siku utasikia limeingiza faida.
.tumeshindwa mabasi ya mjini tu, ambayo hayana ushindani wa kibiashara tutaweza midege, ambayo ina upinzani wa kimataifa?

Sahau neno faida huko.
 
Sio kwa ubaya
Je hizi harasa ni kwamba chama tawala hakina la kusema au? Maana kama ingekuwa CHADEMA ndo yupo madarakani kwa hakika CCM wangesema tu? Na Sio kwa ubaya mwananchi kuuliza sio jambo baya
Fursa hizo hawawezi kusema lolote.
 
Mtoa mada anaandaa content vizuri lakini upande wa kujibu hoja anakimbia
 
VITI MAALUM BHANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…