residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Kwa utaratibu wa Chama chetu na kwa jinsi anavyovutia, nakuhakikishia kuwa huyu binti muda si mrefu anaanza kula mema ya nchi hii. Hatuhitaji watu wenye akili kubwa kabisa
[/QUOTE
Muonee huruma mkuu huo uwezo anautoa wapiUnapambana sana!
Nataka nikupime kama una uwezo wa kuwa kiongozi katika Tanzania hii iliyopo kwenye dunia ya ushindani.
Nisaidie kwa mawazo yako. Unadhani Tanzania ijike kwenye maeneo gani na ifanye nini ili kuhakikisha inakuwa Nchi ya Uchumi wa Kati au Juu katika miaka 50 ijayo?
Piga hesabu ya kufufua shirika jipya, hesabu za ndege mpya na gharama zake za uendeshaji utapata idea kwa ndege mpya unaaza lini kuzalisha faida.Shirika la hizo ndege miaka nenda linazalisha hasara tu badala ya faida! Na hii ni kwa mujibu wa ripoti mbalimbali za kila mwaka, kutoka ofisi ya CAG! Ila viongozi wako hata hawakomi! Wanaendelea tu kununua hizo ndege.
Hivi watakuwa wamerogwa au!! Maana kwa sisi tunaofanya biashara, hakuna kitu tunakiogopa kama kile cha kufanya biashara isiyo na faida!! Au ni kwa sababu hizo hela wanazo zichezea, hawazitolei jasho?
Kulikuwa na ulazima wowote ule wa serikali kulifufua hilo shirika huku ikiwa na rekodi mbovu ya kuyqsimamia na kuyaendesha mashirika yake mengine?Piga hesabu ya kufufua shirika jipya, hesabu za ndege mpya na gharama zake za uendeshaji utapata idea kwa ndege mpya unaaza lini kuzalisha faida.
Siyo biashara ya kuuza genge hiyo, utegemee faida leo na kesho.
Hiyo inayoitwa hasara si hasara kama hasara bali ni fursa.Sio kwa ubaya Sio kwa ubaya
Naomba mnisaidie kunielewesha katika hili,
Kwenye ripoti kadhaa za CAG mfano ripoti ya 2021/2022 kumeonekana kuwa ATCL inaingiza hasara, sio Bilioni 30.63 au ile bilioni 150 ndani ya miaka mitano! Je mko na mipango ya kupata faida au ndo Mama anaupiga mwingi!?
Sio kwa ubaya Sio kwa ubaya
Wanaume wameshapigaHiyo inayoitwa hasara si hasara kama hasara bali ni fursa.
Mpaka 2027 ndege zote zitakuwa zimebaki mbovuKulikuwa na ulazima wowote ule wa serikali kulifufua hilo shirika huku ikiwa na rekodi mbovu ya kuyqsimamia na kuyaendesha mashirika yake mengine?
Ni kwa nini wasingeingia ubia na sekta binafsi kwenye huo ufufuaji?
Una uhakika hata baada ya miaka 20 tangu hizo ndege ziliponunuliwa kwa mabilioni ya fedha za walipa kodi, zitazalisha faida, au zitaendelea tu kutengeneza hasara?
Sio kwa ubayaHiyo inayoitwa hasara si hasara kama hasara bali ni fursa.
Haya ndo maswali tutakayoanza kuwauliza chawa wote wanaotusumbua humu.Muonee huruma mkuu huo uwezo anautoa wapi
Chezea wavaa tai saa 48! Na SGR nako, tuliona manyoya kwenye pori la Ngerengere tukajua tayari. Siku hizi kila siku inajaribiwa.Wanaume wameshapiga
Kulikuwa na ulazima wowote ule wa serikali kulifufua hilo shirika huku ikiwa na rekodi mbovu ya kuyqsimamia na kuyaendesha mashirika yake mengine?
Ni kwa nini wasingeingia ubia na sekta binafsi kwenye huo ufufuaji?
Una uhakika hata baada ya miaka 20 tangu hizo ndege ziliponunuliwa kwa mabilioni ya fedha za walipa kodi, zitazalisha faida, au zitaendelea tu kutengeneza hasara?
Jamaa wanaitafuna nchi vizuri snChezea wavaa tai saa 48! Na SGR nako, tuliona manyoya kwenye pori la Ngerengere tukajua tayari. Siku hizi kila siku inajaribiwa.
Fursa hizo hawawezi kusema lolote.Sio kwa ubaya
Je hizi harasa ni kwamba chama tawala hakina la kusema au? Maana kama ingekuwa CHADEMA ndo yupo madarakani kwa hakika CCM wangesema tu? Na Sio kwa ubaya mwananchi kuuliza sio jambo baya
Nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni hao wenyewe wavaa tai.Jamaa wanaitafuna nchi vizuri sn
Ugonjwa mkubwa sana kwa aafrika wengi! tukiona fursa na masilahi tunakaa kimyaFursa hizo hawawezi kusema lolote.
VITI MAALUM BHANANilifanikiwa Kushiriki Kwenye Mapokezi Ya Ndege Mpya (Boeing 737 - Max 9) Ya Shirika La Air Tanzania (Air Tanzania Company Limited) Ambapo Mgeni Rasmi Katika Mapokezi Hayo Alikuwa Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim Majaaliwa, Kwa Niaba Ya Mheshimiwa Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kutokana na Mheshimiwa Rais Kutingwa na Majukumu.
Katika Mapokezi Haya, Mheshimiwa Waziri Mkuu Aliweza Kumpongeza Mheshimiwa Rais Kwa Juhudi Anazozifanya, Hususani Ndani Ya Miaka Hii Mitatu, Kwa Kuimarisha Sekta Mbalimbali Ikiwemo Sekta Ya Uchukuzi, Na Kutekeleza Ilani Ya Uchaguzi Ya Chama Cha Mapinduzi Ya Mwaka 2020-2025.
Pia Mheshimiwa Waziri Mkuu, Aliweza Kutujuza Mafanikio, na Umuhimu wa Sekta Ya Uchukuzi Nchini Kwa Maendeleo Ya Taifa Letu, Ikiwa Ni Pamoja Na, Kuwa Mchango Katika Kuhakikisha Ukuaji wa Uchumi Wetu Na Kuzalisha Ajira Nchini. Kuongeza Uwezo wa Taifa Kujitegemea Kiuchumi. Kuchochea Uzalishaji, na Kutumia Vyema Fursa za Rasilimali Zilizopo Hapa Nchini. Kuchochea Upatikanaji wa Fedha za Kigeni, Nchini. Na Ongezeko La Mnyororo wa Thamani Ya Mazao Ya Kilimo, Pamoja na Biashara, Na Kadhalika.
Lakini Pia Ameweza Kusema Ndege Ambazo Zimenunuliwa Kwa Kipindi Cha Miaka Mitatu Ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ambapo Tayari Ndege Tano Zimeshawasili Ikiwemo Ndege Ya Mizigo, Ndege Ya Sita Ikiwa Ni Boeing 737-9 Max Iliyowasili Leo, Na Ndege Nyingine Moja (Boeing 787-8 Dreamliner) Ambayo Inategemewa Kuwasili Hivi Karibuni.
Na Mpaka Sasa. Kuna Endelea Na Maboresho Ya Viwanja Vya Ndege Kwenye Mikoa Mbalimbali. Kubwa Zaidi Ni Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa, Msalato - Dodoma, Pamoja na Uboreshwaji wa Uwanja wa Pili wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius K. Nyerere, Utaosaidia Kuifanya Tanzania Kuwa Kitovu Cha Anga, Afrika Mashariki.
Lakini Pia, Aligusia Mafanikio Ya Sekta Ya Uchukuzi Kwenye Reli (Ukamilisho wa Reli Ya SGR), na Usafiri wa Maziwa-Bahari (Ujenzi wa Meli Zinazokaribia Kukamilika Hivi Karibuni), Pamoja na Maboresho Ya Bandari. Kisha Akatoa Maelekezo Ya Usimamizi wa Shirika La Ndege, Ambalo Limetumiwa Fedha Nyingi Katika Uwekezaji.
Ulikuwa Wakati Mzuri.
#KaziIendelee 🇹🇿View attachment 2965988