Nilishuka kwenye verossa tinted nyeus nikaingia bank kuweka milion 50

@mods mmeanza uzinguaji eti?? Nlipost kauzi kama haka then mka kadelete bt hii mmeacha,mnaangalia majina Eti??
 
Tofauti kati ya mnyama na mwanadamu, ni staha! Pamoja na mali unayodai kumiliki, inadhihirisha imekutia majivuno na majigambo kiasi cha kusahau utu wako. Ushauri wangu kwako ni: TOBA! Tubu na ujielekeze kwa Mola wako na kama mali uliyonayo ndiyo inakufanya uwe hivyo, basi itoe yote kwa Mola wako!
 
Hivi kumbe "C" nayo ni namba siku hizi.

Kweli niko nyuma sana ngoja nikaze mwendo.
 
Umesahau kutuhadithia kuhusu yule mlinzi wa kike uliyemkuta getini naye ulimbandua, na yule mbwa wao wa kizungu mwenye manyoya mengi walivyokuacha naye sebuleni ulimbandua pia. Kwa hiyo umewapa mimba wanawake 5 na mbwa 1, pole sana mkuu ndo uanaume huo
 
Fiksi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…