Nilishuka kwenye verossa tinted nyeus nikaingia bank kuweka milion 50

Mkuu kwani hili ni jukwaa gan
....Kwenye hilo jukwaa ulichoona wewe ni ngono na ufuska tuu? Huna la maana la kujadili na watanzania wenzako zaidi ya ufuska? Hiyo akili yako imejaa ufuska tuuu?
 
Kalale ukiamka umejielewa utajua ufanye nini na maisha yako
 
Fanya kazi hata ya kuendesha bodaboda hizi ndoto hazitokufikisha popote,ulizaliwa mwanaume komaa kuzisaka ukilala utajikuta unalaliwa watu wamepinda siku hizi.
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Usikute wakati anatunga stori yake hakuwa na hata 500 ya kununua Sayona wala Fursana
[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji377][emoji377][emoji377]
[emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…