William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Malalamiko NI mengi Sana ya Chadema Juu ya wagombea wa CCM NI pamoja na.
1 Kutumia magali ya serikali.
2.Kumtumia Mawaziri mkuu.
3.Ahadi za Raisi na kupigia cm mawaziri.
4.Mgombea wa CCM kutofata ratiba ya tume.
5. Tuhuma dhidi yenu ya kuuza nchi mkichaguliwa.
6. Kauli zilizowahi kutolewa kwa mujibu wenu na Mh kuwa nikikuteua hupaswi kumtangaza mpinzani kashinda.
1.Je yote hayo huwa mnayashugulikia kisheria mpaka mnapokwamia au tu mnalalamikia kwenye media.
2. Na Kama mnayafikisha kisheria Kamati ya maadili ilikaa na kuamua Nini!?
3. Kama Mwenyekiti wa Kamati akipata Malalamiko na hakuiitisha Kamati mlichukua hatua gani.
Kwa kawaida kwenye vikao vya izo Kamati Kama NI wajumbe wanalipwa posho za vikao na Mwenyekiti NI VIGUMU mno kulingana nae. Ila oneshesheni jitihada kabla ya kulalamikia mitandaoni
1 Kutumia magali ya serikali.
2.Kumtumia Mawaziri mkuu.
3.Ahadi za Raisi na kupigia cm mawaziri.
4.Mgombea wa CCM kutofata ratiba ya tume.
5. Tuhuma dhidi yenu ya kuuza nchi mkichaguliwa.
6. Kauli zilizowahi kutolewa kwa mujibu wenu na Mh kuwa nikikuteua hupaswi kumtangaza mpinzani kashinda.
1.Je yote hayo huwa mnayashugulikia kisheria mpaka mnapokwamia au tu mnalalamikia kwenye media.
2. Na Kama mnayafikisha kisheria Kamati ya maadili ilikaa na kuamua Nini!?
3. Kama Mwenyekiti wa Kamati akipata Malalamiko na hakuiitisha Kamati mlichukua hatua gani.
Kwa kawaida kwenye vikao vya izo Kamati Kama NI wajumbe wanalipwa posho za vikao na Mwenyekiti NI VIGUMU mno kulingana nae. Ila oneshesheni jitihada kabla ya kulalamikia mitandaoni