- Thread starter
- #121
Ahsante sana mkuu PakawaPole Mkuu
Ni hivi upepo mkali hupeperusha vingi kama una miti karibu na nyumba inawezekana alipeperushwa na upepo karibu na mlango sometimes wanaangukia kwenye madirisha akajisogeza palipo na joto mfano kwenye kingo za milango vitanda makabati etc.
Maji ya baraka ni vyema kulingana na imani yako. Maombi na kukemea pepo wabaya ni jambo jema pia.
Kuwa mzoefu wa kuchoma chumvi ya mawe na hata kunyunyiza kwenye vichaka au miti karibu na nyumba utawafukuza nyoka. Chumvi ni adui wa nyoka.