Ahsante sana mkuu PakawaPole Mkuu
Ni hivi upepo mkali hupeperusha vingi kama una miti karibu na nyumba inawezekana alipeperushwa na upepo karibu na mlango sometimes wanaangukia kwenye madirisha akajisogeza palipo na joto mfano kwenye kingo za milango vitanda makabati etc.
Maji ya baraka ni vyema kulingana na imani yako. Maombi na kukemea pepo wabaya ni jambo jema pia.
Kuwa mzoefu wa kuchoma chumvi ya mawe na hata kunyunyiza kwenye vichaka au miti karibu na nyumba utawafukuza nyoka. Chumvi ni adui wa nyoka.
hahahahahahaha aiseeee! tehe tehe teheNaomba nije kukusaidia kulala humo ili nyoka akija nipambane nae Effectively
Ya nyoka kuingia ndani au una maanisha opportunity ya kitu gani wee nsereko?umetoa fursa tayari.
fumigation haiui panya Nahuja!Mie kwangu hakuna panya kabisa huwa ninafanya famigesheni mara kwa mara kuua wadudu
Heeee! kumbefumigation haiui panya Nahuja!
Ahsante kwa ushauri wako kizo83Ni kawaida nyoka kuingia ndani haswa kipindi cha mvua sababu wao pia wanahitaji joto,Nilipokuwa advance Mara Sec mambo ya nyoka kuingia bwenini kilikuwa kitu cha kawaida sana na kibaya zaidi walikuwa wanajificha ndani ya viatu vya watu kwa ajili ya lile joto joto.
Njia rahisi ya kuepuka wasiingie ndani ni kuhakikisha upenyo mdogo chini ya mlango kama upo uwe unaziba na matambala haswa wakati wa usiku.
Uuuuuu wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!Nyoka mweusi hutembea wawili wawili dume na jike,hivyo lazima mmoja atakuja tu kumtafuta mwenzi wake,tegemea kuua mwingine soon
Ahsante kwa ushauri wakoPole mkuu, mwagia mafuta ya taa nyoka, na mafuta ya taa vitu viwili tofauti.