ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Kipindi kama cha wiki mbili zilizopita, nilileta uzi juu ya tuwatahadharisha wachambuzi uchwara kuwa ni kweli Simba yaweza kuwa mbovu ukilinganisha na Simba ya miaka 2 iliyo pita, ila ubovu wake mmeuzidishia chumvi kupita kiasi.
Kiufupi simba sio mbovu kiasi hicho kama wachambuzi wetu wanavyo tuaminisha, yaani ukisikia wachambuzi wanavyo iongelea simba, kama huijui Simba waweza sema simba inazidiwa mpaka na Gwambina.
Niliwaambia kuwa hata simba akonde vip hawezi kuwa paka hivyo pamoja na ubovu wake mnao usema ni kosa kubwa kuichukulia poa maana itakudhalilisha.
Horoya waliichukulia simba kawaida sana yakawakuta ya kuwakuta.
Ushauri wangu kwa wachambuzi wetu jifunzeni kuchambua kitaalamu na sio kuchambua kwa kufuuta upepo unapo elekea alafu kuweni na akiba ya maneno maana huu ni mpila lolote laweza kutokea na mkabaki na rundo la aibu.
Mfano kuna mchambuzi mmoja aliahidi kuacha kazi iwapo Sakho ataitwa timu ya taifa ila sasa hivi anashindwa ajifiche wapi kwa aibu.
Narudia tena kuweni na akiba ya maneno huu ni mpila na una maajabu yake.
Kiufupi simba sio mbovu kiasi hicho kama wachambuzi wetu wanavyo tuaminisha, yaani ukisikia wachambuzi wanavyo iongelea simba, kama huijui Simba waweza sema simba inazidiwa mpaka na Gwambina.
Niliwaambia kuwa hata simba akonde vip hawezi kuwa paka hivyo pamoja na ubovu wake mnao usema ni kosa kubwa kuichukulia poa maana itakudhalilisha.
Horoya waliichukulia simba kawaida sana yakawakuta ya kuwakuta.
Ushauri wangu kwa wachambuzi wetu jifunzeni kuchambua kitaalamu na sio kuchambua kwa kufuuta upepo unapo elekea alafu kuweni na akiba ya maneno maana huu ni mpila lolote laweza kutokea na mkabaki na rundo la aibu.
Mfano kuna mchambuzi mmoja aliahidi kuacha kazi iwapo Sakho ataitwa timu ya taifa ila sasa hivi anashindwa ajifiche wapi kwa aibu.
Narudia tena kuweni na akiba ya maneno huu ni mpila na una maajabu yake.