Kibereko
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 383
- 895
Kabisa ni kichwa BoxKichwa maji na kilaza huyo Afisa, ungempiga hata head moja ya chapu chapu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa ni kichwa BoxKichwa maji na kilaza huyo Afisa, ungempiga hata head moja ya chapu chapu
hahahahaaaaNdio umekuja nisema mtandaoni? Nakuapia hutoboi wewe. Tutakula kichwa chako.
Hata mimi nilipata within 3 weeks, ila nilitakiwa kupata within 14 days, kuna kitu kilitokea ambacho kiliongeza hizo wiki “unnecessary” kuvimbiana fulani hivi. Ila kwakuwa nilikua eligible ilibidi waitoe tu hawana namna.hapo ilikuwa kipindi cha magu, ila awamu ya sasa watu wengi nawafahamu wameomba na wamepata tena haraka wiki mbili tuu bila kutoa chochote, tena kuna mmoja dom alienda akaambiwa bado hichi akaenda kuleta, akaambiwa tena bado hichi yule afisa akamwambia hiyo document unitumie tuu kwenye wasap nijiridhishe twende ukapige picha na kuweka finger print na after 3 weeks akapata passport yake bila kujuana na mtu au kutoa chochote. sasa hivi kama huna connection na umekamilisha documents zote (alafu vizia ile foleni ya mchana ufike wakiwa wanakaribia kutoka)passport ni wiki mbili ila unapata,ukiwa na connection passport ni siku tatu tuu umepata 😀.
MImi nlianza process j3 mpka j4 nna gamba langu mkononi kugawana riziki muhimu ili mambo yko yaendehapo ilikuwa kipindi cha magu, ila awamu ya sasa watu wengi nawafahamu wameomba na wamepata tena haraka wiki mbili tuu bila kutoa chochote, tena kuna mmoja dom alienda akaambiwa bado hichi akaenda kuleta, akaambiwa tena bado hichi yule afisa akamwambia hiyo document unitumie tuu kwenye wasap nijiridhishe twende ukapige picha na kuweka finger print na after 3 weeks akapata passport yake bila kujuana na mtu au kutoa chochote. sasa hivi kama huna connection na umekamilisha documents zote (alafu vizia ile foleni ya mchana ufike wakiwa wanakaribia kutoka)passport ni wiki mbili ila unapata,ukiwa na connection passport ni siku tatu tuu umepata 😀.
mwendo ni ule ule hamna mwenye afadhali tena kama documents zina utata kidogo utakoma ,hao wengine ndo wanaonekana kama mgodi. wenye afadhali ni wenye connection tuu na pesa iwepo.Hata mimi nilipata within 3 weeks, ila nilitakiwa kupata within 14 days, kuna kitu kilitokea ambacho kiliongeza hizo wiki “unnecessary” kuvimbiana fulani hivi. Ila kwakuwa nilikua eligible ilibidi waitoe tu hawana namna.
Hicho kilichotokea ndio kilichonifanya nilalamike hapa, kuwa ni sisi wamatumbi tu ndio tunasukwa sukwa huko kurasini?
37141904575Kwa muda mrefu Nilikuwa nasikia kwamba Maafisa Uhamiaji wengi ni wababaishaji, Leo nimeshuhudia kwa macho.
Nilijaza fomu la maombi ya passport online Nikalipia kisha nika download na kuwasilisha Ofisi za uhamiaji mkoa.
Afisa Aliyenipokea akaniuliza wewe ni kabila gani? Nikamuambia Maasai. Akaniuliza, Sasa Maasai utatoboa kweli? Nikamkazia uso[emoji2955]
Akaanza kukagua majina na attachments akaniuliza cheti cha kuzaliwa baba nikamuambia alifariki. Akaniambia cheti chake cha kifo Kiko wapi nikamchomolea.
Akaniuliza namba yake ya NIDA Iko wapi? Nikamuambia mtu aliyefariki mwaka 1996 namba ya NIDA inapatikanaje? Akaniambia ndiyo utaratibu uliopo. Nikashindwa kumuelewa[emoji849]
Akaniambia anataka kitambulisho Cha mama, nikamuambia nimeambatanisha barua ya utambulisho kutoka kwa Afisa mtendaji na kuna namba yake ya ya NIDA kwenye hiyo barua.
Akasema anataka cheti cha kuzaliwa, nikamuambia Kuna Affidavit hapo akasema affidavit siyo cheti.
Hapo ndipo nikajua jamaa ni mpumbavu, nikamuambia kwahiyo mlipoweka kwenye tovuti yenu kuwa affidavit ni mbadala wa cheti cha kuzaliwa, mlikuwa mnatania?
Tukaanza kurushiana maneno nikataka kumpiga makofi akatokea dada mmoja(Afisa mwenzake) Akaniambia samahani kaka naomba nikusikilize. Nikamueleza scenario yote, akakagua fomu na attachments zangu na kuniambia viko sawa niondoke, nitapigiwa simu.
Nikaondoka hatua chache, nikawaza kuwa hawa jamaa wameshaonesha negative attitude, Kuna uwezekano hawatatuma fomu langu makao makuu. Nikarudi nikawaambia wanipe fomu langu nikapokea na kuondoka nalo. Nitaenda likizo hivi Karibuni nitafanyia hili zoezi mkoani kwetu. Ila kumbe Maafisa Uhamiaji wengi ni wapumbavu.
Hii nini?37141904575