Pre GE2025 Nilitaka kushangaa Nchimbi athubutu kukaa meza moja na Mnyika! Ataongea nini?

Pre GE2025 Nilitaka kushangaa Nchimbi athubutu kukaa meza moja na Mnyika! Ataongea nini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Hatimaye kwa masikitiko makubwa, Mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini umeahirishwa kutokana na wahusika kuingia mitini!

Mbona kwa nchi za wenzetu haya mambo yanawezekana na yanafanyika vizuri kabisa? Kwanini sio huku kwetu? Je, ni uoga? Chuki? Kutokujiamini? Kukosa sera?

PIA SOMA

- News Alert: - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!

20240831_215042.jpg
 

Attachments

  • 20240831_215019.jpg
    20240831_215019.jpg
    1.7 MB · Views: 1
Hatimaye kwa masikitiko makubwa, Mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini umeahirishwa kutokana na wahusika kuingia mitini!. Mbona kwa nchi za wenzetu haya mambo yanawezekana na yanafanyika vizuri kabisa? Kwanini sio huku kwetu? Je, ni uoga? Chuki? Kutokujiamini? Kukosa sera?
View attachment 3083806
 
Hatimaye kwa masikitiko makubwa, Mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini umeahirishwa kutokana na wahusika kuingia mitini!. Mbona kwa nchi za wenzetu haya mambo yanawezekana na yanafanyika vizuri kabisa? Kwanini sio huku kwetu? Je, ni uoga? Chuki? Kutokujiamini? Kukosa sera?
View attachment 3083806
Kwa nini wanaogopa debates??
 
Hatimaye kwa masikitiko makubwa, Mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini umeahirishwa kutokana na wahusika kuingia mitini....
Bora lawama kulio fedheha kutoka kwa vijana.Unaweza ukawa mzima tu halafu upatie stroke kwenye mdahalo. Kwani mbio huna?🤣🤣🤣🤣
 
Hatimaye kwa masikitiko makubwa, Mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini umeahirishwa kutokana na wahusika kuingia mitini!

Mbona kwa nchi za wenzetu haya mambo yanawezekana na yanafanyika vizuri kabisa? Kwanini sio huku kwetu? Je, ni uoga? Chuki? Kutokujiamini? Kukosa sera?

View attachment 3083806
Si nimeona taarifa ya Chama Cha Mapinduzi kwamba NEC imekaa leo? Sijui Katibu Mkuu wa CCM angewezaje kuhudhuria mdahalo? 🙏🙏🙏
 
Kuna jamaa niliwaambia miaka miwili iliyopita kuwa Emmanuel Nchimbi yupo overrated sana ni mweupe na mwepesi sana katika Tanzania ya kisasa.
 
Vikao vya CCM kuliko huo mkusanyiko wenu.kwanza lazima ufahamu kiwa hadhi na heshima aliyonayo Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kubwa sana na wala huwezi kumlinganisha na watu kama Mnyika. Sasa mnyika ndio wa kufanya mdahalo na Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi? Ado shaibu ndio akae na Katibu mkuu wetu? Embu acheni utani wenu. Acheni kumshushia heshima katibu Mkuu wetu. Komaeni kwanza akili zenu
Peleka ujinga huko!

Chawa lumumba buku 7.
 
Vikao vya CCM kuliko huo mkusanyiko wenu.kwanza lazima ufahamu kiwa hadhi na heshima aliyonayo Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kubwa sana na wala huwezi kumlinganisha na watu kama Mnyika. Sasa mnyika ndio wa kufanya mdahalo na Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi? Ado shaibu ndio akae na Katibu mkuu wetu? Embu acheni utani wenu. Acheni kumshushia heshima katibu Mkuu wetu. Komaeni kwanza akili zenu
Huwa unajiaibisha sana.Mtu mgeni ataona aidha hupatiwi matibabu yako vema na kwa wakati au umetelekezwa na unajibu tu kwa kutumia mabega kwa sababu kichwa hauna.
 
NEC ndiyo takataka gani mbele ya hoja za wananchi?
Hata hii lugha yako si ya mjadala wa kistaarabu! Hivi Sekretarieti ya Chama inaongozwa na Katibu Mkuu tulitegemea aache? Hizo ajenda za wananchi ni muhimu lakini kuna vikao vya Chama kuzijadili pia. Hivi siku ACT, Chauma, CUF au Chadema wana vikao vikubwa wenye kuvisimamia wanaweza viacha? 🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom