Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
- Thread starter
- #21
Hizo dira mnazijua nyie wanachama sio sisi watanzania! Acheni mara moja ulevi wa madaraka, Je kwanini msingesogeza mbele vikao vyenu kujibu kwanza hoja za wananchi?Vikao vya CCM ni muhimu sana.maaja vinatoa Dira na muelekeo wa masuala mbalimbali