Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Katibu wa chama cha majambazi kaingia mitini maana hoja za utekaji asingeweza kuzijibu.
Kukimbia mdahalo nao sasa ni 4R za mama Abdul.
Mama anaupiga mwingi.
Cc:Lucas Mbwa Wa Shamba.
Kwa nini wanaogopa debates??Hatimaye kwa masikitiko makubwa, Mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini umeahirishwa kutokana na wahusika kuingia mitini!. Mbona kwa nchi za wenzetu haya mambo yanawezekana na yanafanyika vizuri kabisa? Kwanini sio huku kwetu? Je, ni uoga? Chuki? Kutokujiamini? Kukosa sera?
View attachment 3083806
Bora lawama kulio fedheha kutoka kwa vijana.Unaweza ukawa mzima tu halafu upatie stroke kwenye mdahalo. Kwani mbio huna?π€£π€£π€£π€£Hatimaye kwa masikitiko makubwa, Mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini umeahirishwa kutokana na wahusika kuingia mitini....
Si nimeona taarifa ya Chama Cha Mapinduzi kwamba NEC imekaa leo? Sijui Katibu Mkuu wa CCM angewezaje kuhudhuria mdahalo? πππHatimaye kwa masikitiko makubwa, Mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini umeahirishwa kutokana na wahusika kuingia mitini!
Mbona kwa nchi za wenzetu haya mambo yanawezekana na yanafanyika vizuri kabisa? Kwanini sio huku kwetu? Je, ni uoga? Chuki? Kutokujiamini? Kukosa sera?
View attachment 3083806
NEC ndiyo takataka gani mbele ya hoja za wananchi?Si nimeona taarifa ya Chama Cha Mapinduzi kwamba NEC imekaa leo? Sijui Katibu Mkuu wa CCM angewezaje kuhudhuria mdahalo? πππ
Peleka ujinga huko!Vikao vya CCM kuliko huo mkusanyiko wenu.kwanza lazima ufahamu kiwa hadhi na heshima aliyonayo Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kubwa sana na wala huwezi kumlinganisha na watu kama Mnyika. Sasa mnyika ndio wa kufanya mdahalo na Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi? Ado shaibu ndio akae na Katibu mkuu wetu? Embu acheni utani wenu. Acheni kumshushia heshima katibu Mkuu wetu. Komaeni kwanza akili zenu
Si nimeona taarifa ya Chama Cha Mapinduzi kwamba NEC imekaa leo? Sijui Katibu Mkuu wa CCM angewezaje kuhudhuria mdahalo? πππ
Kaingia chaka.
Huwa unajiaibisha sana.Mtu mgeni ataona aidha hupatiwi matibabu yako vema na kwa wakati au umetelekezwa na unajibu tu kwa kutumia mabega kwa sababu kichwa hauna.Vikao vya CCM kuliko huo mkusanyiko wenu.kwanza lazima ufahamu kiwa hadhi na heshima aliyonayo Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kubwa sana na wala huwezi kumlinganisha na watu kama Mnyika. Sasa mnyika ndio wa kufanya mdahalo na Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi? Ado shaibu ndio akae na Katibu mkuu wetu? Embu acheni utani wenu. Acheni kumshushia heshima katibu Mkuu wetu. Komaeni kwanza akili zenu
Hoja za wananchi na hivyo vikao vya ndani vya chama kipi muhimu? Acha ujinga
Hata hii lugha yako si ya mjadala wa kistaarabu! Hivi Sekretarieti ya Chama inaongozwa na Katibu Mkuu tulitegemea aache? Hizo ajenda za wananchi ni muhimu lakini kuna vikao vya Chama kuzijadili pia. Hivi siku ACT, Chauma, CUF au Chadema wana vikao vikubwa wenye kuvisimamia wanaweza viacha? πππNEC ndiyo takataka gani mbele ya hoja za wananchi?
Vikao vya CCM ni muhimu sana.maaja vinatoa Dira na muelekeo wa masuala mbalimbaliHoja za wananchi na hivyo vikao vya ndani vya chama kipi muhimu? Acha ujinga
Hoja za wananchi na hivyo vikao vya ndani vya chama kipi muhimu? Acha ujinga
Huwa unajiaibisha sana.Mtu mgeni ataona aidha hupatiwi matibabu yako vema na kwa wakati au umetelekezwa na unajibu tu kwa kutumia mabega kwa sababu kichwa hauna.
Ndege/bombadier/boeing zimeharibika zote?Kukodi?