Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
- Thread starter
-
- #21
Hizo dira mnazijua nyie wanachama sio sisi watanzania! Acheni mara moja ulevi wa madaraka, Je kwanini msingesogeza mbele vikao vyenu kujibu kwanza hoja za wananchi?Vikao vya CCM ni muhimu sana.maaja vinatoa Dira na muelekeo wa masuala mbalimbali
Lugha hubadilika kutokana na maudhi na kuonyesha msisitizo wa kuchukizwa! What is sekretariet ya chama? Ajenda za chama ni muhinu kuliko ajenda za watanzania? Kwamba hivyo vikao visingeweza kusubiri? Huo ni Ulevi wa madaraka, dharau na kiburi cha wazi mbele ya watanzania.Hata hii lugha yako si ya mjadala wa kistaarabu! Hivi Sekretarieti ya Chama inaongozwa na Katibu Mkuu tulitegemea aache? Hizo ajenda za wananchi ni muhimu lakini kuna vikao vya Chama kuzijadili pia. Hivi siku ACT, Chauma, CUF au Chadema wana vikao vikubwa wenye kuvisimamia wanaweza viacha? πππ
Hizi dharau, kiburi na jeuri vina mwisho!Vikao vya CCM kuliko huo mkusanyiko wenu.kwanza lazima ufahamu kiwa hadhi na heshima aliyonayo Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kubwa sana na wala huwezi kumlinganisha na watu kama Mnyika. Sasa mnyika ndio wa kufanya mdahalo na Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi? Ado shaibu ndio akae na Katibu mkuu wetu? Embu acheni utani wenu. Acheni kumshushia heshima katibu Mkuu wetu. Komaeni kwanza akili zenu
Aaaah weee!!! Sio kirahisi ivoo ata kama awezi kujibu hoja lakini uwezi waingiza mkenge kirahisi hiviiHatimaye kwa masikitiko makubwa, Mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini umeahirishwa kutokana na wahusika kuingia mitini!
Mbona kwa nchi za wenzetu haya mambo yanawezekana na yanafanyika vizuri kabisa? Kwanini sio huku kwetu? Je, ni uoga? Chuki? Kutokujiamini? Kukosa sera?
View attachment 3083806
Hata yeye kaingia mitiniWangemruhusu tu hata Lucas Mwashambwa angetosha kabisa kuwakilisha na tukabubujikwa na machozi.
Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tuVikao vya CCM kuliko huo mkusanyiko wenu.kwanza lazima ufahamu kiwa hadhi na heshima aliyonayo Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kubwa sana na wala huwezi kumlinganisha na watu kama Mnyika. Sasa mnyika ndio wa kufanya mdahalo na Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi? Ado shaibu ndio akae na Katibu mkuu wetu? Embu acheni utani wenu. Acheni kumshushia heshima katibu Mkuu wetu. Komaeni kwanza akili zenu
Kwani hajaenda ? πππππWangemruhusu tu hata Lucas Mwashambwa angetosha kabisa kuwakilisha na tukabubujikwa na machozi.
Kuna jamaa nilimwambia balozi dokta akihudhuria ningeharisha kuanzia ubungo hadi maili moja kibaha, yaani katibu Mkuu wa chadema ndani ya nyumba halafu wa CCM ajipeleke? Nakuhakikishia Mchimbi angehudhuria ule mdahalo sasa hivi Prof. Janabi angekuwa zamu huko ICUVikao vya CCM kuliko huo mkusanyiko wenu.kwanza lazima ufahamu kiwa hadhi na heshima aliyonayo Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ni kubwa sana na wala huwezi kumlinganisha na watu kama Mnyika.
Sasa mnyika ndio wa kufanya mdahalo na Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi? Ado shaibu ndio akae na Katibu mkuu wetu? Embu acheni utani wenu. Acheni kumshushia heshima katibu Mkuu wetu. Komaeni kwanza akili zenu